Msanii wa bongo flava roma mkatolik amwaga sir nzito wakat anapokea tuzo za kil music award katka ukumbi wa mliman city jana baada ya kuwafanansha wabongo na punda kaul hio iltolewa na roma huku aksema wabongo hatuendelei kwasababu ya majungu ktk afla hio roma alpokea tunzo mbili ambazo n nyimbo bora ya hiphop na msanii bora wa hiphop.