BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,009
Kwa kweli sasa imepita kipimo cha kawaida.
Karibu kila kashfa kubwa ya upotevu wa pesa au ubadhirifu inayotokea nchini kuna jina la mfanyabiashara maarufu wa kiasia linajitokeza. Kwa mifano michache tu ya rada, ndege mbovu, magari ya wanajeshi, vifaa vya jeshi, richmonduli, wizi BoT, na mengine mengi tu...... hawa wenzetu wameonesha kuwa hawana nia njema kabisa na nchi yetu.
Nitaonekana mbaguzi kama nikiwasakama waasia pekee hapa ila pia naona inabidi pia iwekwe wazi kuwa wakati tukila sahani moja na kina Mramba, Lowasa, Mgonja na wenzake (wazawa) inabidi pia tule sahani moja na surrogate zao (Manji, Patel, Azizi, Vit-rada) na wengine ambao wanahusika na upotevu wa mabilioni ya pesa.
Kwa wakazi wa Dar es salaam inafahamika namna makampuni ya ujenzi wa barabara ya wafanyabiashara wa kiasia ambavyo wamekuwa wakifanya kazi mbovu ya kurekebisha barabara mwaka hadi mwaka na kupelekea barabara hizo kuharibika zaidi na kuleta usumbufu mkubwa kabisa (naongelea kina Karafi na wenzake).
N'uff now, naungana na Iddi Simba katika hili. Ifikie wakati sasa maslahi ya nchi na wananchi wengi yawe mbele ya kuwa politicaly correct. Nchi zinazotamba kwa demokrasia zinaendesha criminal profiling na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa kukamata wezi na wahalifu kwa gharama kidogo, kwa nini watanzania wenye uchungu na nchi yetu tusianze kuwaangalia hawa waasia kwa macho makali ya chuki kwa vitendo vyao vya wizi na ubadhirifu wa uchumi wa nchi yetu?
Najua hii inaweza kuwa sio sahihi kisiasa ila naona pia kuwa siasa ndio inaamua mambo mengi ya nchi yetu na hili la waasia kuwa na sauti kubwa sana kwenye siasa ya nchi yetu ni tatizo kubwa na inabidi liangaliwe sana kwa sasa!
Katika hili nitakubali kuitwa mbaguzi lakini niokoe maisha ya watoto wachanga wanaokufa bila dawa hospitalini huku Patel na wenzake wakichota mabilioni ya pesa za watanzania!
Hawa nao ni wengine ambao ni untouchables! Kuna Watanzania mpaka leo hii ukisema chochote kinachofanywa vibaya na wahindi kama ufisadi, kuwaingiza wahindi wenzao nchini bila kufuata sheria za uhamiaji n.k. basi utaambiwa wewe ni mbaguzi! Kitu ambacho hakina mantiki yeyote.
Wahindi kwa kushirikiana na mafisadi waliokuwa madarakani wanafanya ufisadi mkubwa sana na tusiogope kusema ukweli, kuwabana, kuwafilisi na hata kuwafungulia mashtaka na kuwataka warudishe pesa walizojipatia kupitia ufisadi wao.