Roketi inarudije katika kinu chake? Je, inarudi kinyunyume au?

Gari likiwa limebeba SOYUZ

soyuz+spacecraft+transported+to+launch+pad+front.jpg

soyuz+spacecraft+transported+to+launch+pad+front.jpg
 
Internet unayotumia inaweza kukupa majibu yote unayohitaji. Lakini mara nyingi watu wengi, hasa watanzania hawatumii internet kwa kujifunza. Kama wewe hapo.
acha wehu,kama ishu ni net basi vyuo vifungwe,kuna desa lisilokuwepo net?btw sio wote wanajua lugha ya kidhungu
 
Ila kuna tofauti kati ya NASA na SOYUS
Unaongelea nini? Unaelewa kirefu cha NASA na maana yake? Kwa nini shirika unalilinganisha na Soyuz (roketi ya Warusi)? Hiyo kwenye picha ni Space Shuttle na zote zimeishaacha kufanya kazi na kwa sasa Wamarekani hawana roketi ya kupekeka watu anga za juu na wanadandia za Warusi kwenda kwenye Space Station.

Niliwahi kushuhudia shuttle Discovery ikiruka pale Cape Canaveral Florida. Ni tukio la aina yake na niliheshimu uwezo wa binadamu na sayansi kwa ujumla!
 
rocket ndio nini au ambazo hua zinapita huku zinaacha moshi angani je hua zinapita vipi kwenye anga za mataifa mbalimbali bila ruksa na mbona sijawahi kuona milipuko yoyote
 

rocket ni hilo tank jekundu na hilo jeupe (mara nyingi hutumiwa kubwa moja (jekundu) na madogo mawili (meupe) kwa mirusho ya Apollo) hiko unachokiita nasa si rocket ni chombo kinachobebwa na rocket ili kifikishe binadam na mizigo anga za juu na hicho ndio hutumika mara nyingi na si rocket husika.
 
Sio lazima irudi iliporukia,kuna baadhi ya vitu hupotea angani na sio kwamba rocket hurudi yote kamili kama ilivyoruka!

Nimekujibu kwa uelewa wangu.

Kweli mkuu, sehemu kubwa huwa ni fuel tanks ambazo huungua na kutupwa rocketi ikiwa inapaa. Ikifika kwenye Altitude inayotakiwa hubakia ndege ya kawaida (Space shuttle) ambayo inarudi na kutua kama ndege ya kawaida. Kama itaonekana bado inafaa kwa safari nyingine inabidi iwe equiped upya na ni process ya muda mrefu sio leo imerudi kesho iondoke.
 
Kupitia channel kama Discovery Science haya mambo yanaoneshwa na kuelezewa kwa kina..
 
kwa hiyo una maanisha uwa inameguka meguka ikifika angani?

huu ndo udhaifu wa sie wabongo kujiongeza ni shida sanaa.....juzi tuu rocket imerushwa na inaonyeshwa live inavyo toa baadhi ya viungo vyake mtu anakuja kuuliza hapa....!
 
Hakuna roket inarudi kwenye kinu chake. roket ikiushwa basi ndio hairudi ina tumika mara moja tu. Kuna ya aina moja tu - Space shuttle ya marekani ambayo inaruka kama roket na inauwa kama ndege na inatumka tena

Sasa wale wanaoendaga international space station (ISS) na kukaa huko miezi kadhaa wanarudije? Kumbuka kuwa kule pia huwa inatua, process yake inaitwa docking..., Hao watu hutumia hiyo spacecraft kurudi duniani. Mfanon ni hawa walioenda juzi ISS kwa kutumia rocket inayoitwa Soyuz (ikiongozwa na Muingireza Tim Peake). Ni lazima watatumia Soyuz kurudi..., je hutua kinyume nyume?

Au wale walioenda Moon walituaje? maana walitumia rocket ile ile (Apollo) ambayo haikutua mwezini (sababu wangekosa machine ya kurushia rocket). Hivyo ilibaki kwenye anga la mwezi mpaka walipomaliza utafiti, wakati inarudi duniani walitua kwa process iitwayo docking.

Hata wale walioenda mwezini (Moon landing), walirudi na rocket ile ile (Apollo series). Haikutua mwezini kwa sababu wangekosa mashine ya kuwarusha..., hivyo iliendelea kubaki kwenye anga la mwezi mpaka walipomaliza utafiti wao na kudandia. Hapa dunia ilitua kwa process inayoitwa docking..., Je docking ni nini?

Ni hayo tu
 
Rocket ikiruka hairudi tena inachanguka na kurudi kama ndege ya kawaida mabaki yana baki kwenye Space na kupotea humo humo hakuna rocket inayorudi wanatudi wana anga na ndge iliyowekwa pembeni ya rocket kazibya rocket ni kukufikisha tu na si kukurudisha kama ikitokea kurudi ni bomu sehemu itakayotua

Si kweli, kutua kwa rocket sio bomu..., ni process ya kawaida sana inaitwa docking

Sasa wale wanaoendaga international space station (ISS) na kukaa huko miezi kadhaa wanarudije? Kumbuka kuwa kule pia huwa inatua, process yake inaitwa docking..., Hao watu hutumia hiyo spacecraft kurudi duniani. Mfanon ni hawa walioenda juzi ISS kwa kutumia rocket inayoitwa Soyuz (ikiongozwa na Muingireza Tim Peake). Ni lazima watatumia Soyuz kurudi..., je hutua kinyume nyume?

Au wale walioenda Moon walituaje? maana walitumia rocket ile ile (Apollo) ambayo haikutua mwezini (sababu wangekosa machine ya kurushia rocket). Hivyo ilibaki kwenye anga la mwezi mpaka walipomaliza utafiti, wakati inarudi duniani walitua kwa process iitwayo docking.

Hata wale walioenda mwezini (Moon landing), walirudi na rocket ile ile (Apollo series). Haikutua mwezini kwa sababu wangekosa mashine ya kuwarusha..., hivyo iliendelea kubaki kwenye anga la mwezi mpaka walipomaliza utafiti wao na kudandia. Hapa dunia ilitua kwa process inayoitwa docking.
 
umesema mwenye kwamba ikifika angani kuna tuvitu vitu fulani tunameguka na kupotea, sasa taja ata kimojawapo hili tukuamini

ni inshu ya kweli inapokuwa angani hupungua uzito tokana na fuel inayoungua



wale walisoma physics adv wanaelewa hili
 
huu ndo udhaifu wa sie wabongo kujiongeza ni shida sanaa.....juzi tuu rocket imerushwa na inaonyeshwa live inavyo toa baadhi ya viungo vyake mtu anakuja kuuliza hapa....!

Huo muda inarusha unazani kila mtu alikua kwenye vyombo vya habari.toa maelezo kama uawezi pembeni .naisi utakua jipu
 
Back
Top Bottom