Roho mbaya!

Mamii umesema ukweli kabisa hakuna mwanamke/ hata mwanaume nadhani ambaye angependa kusikia mpenzi wa aliyekuwa mpenzi wake ni bora kuliko alivyokuwa yeye. Mimi huwaga analalamika kwa rafiki zake kuwa alifanya makosa sana kunipoteza na anatamani kunirudisha kwenye himaya yake!! Nikizipata salamu hizi huwa nasikia raha. Hahahahahaaaaaa
ni kweli,tena mie nafurahi zaidi pale rafiki za jamaa wakimponda shem wao mpya huku wakimlaumu rafiki yao kuniudhi hadi nikambwaga!wakishatupoteza ndio wanaujua uzuri wetu!
 
Mamii umesema ukweli kabisa hakuna mwanamke/ hata mwanaume nadhani ambaye angependa kusikia mpenzi wa aliyekuwa mpenzi wake ni bora kuliko alivyokuwa yeye. Mimi huwaga analalamika kwa rafiki zake kuwa alifanya makosa sana kunipoteza na anatamani kunirudisha kwenye himaya yake!! Nikizipata salamu hizi huwa nasikia raha. Hahahahahaaaaaa

Ubinadamu wako uko palepale!!
 
...Hivi,

...ni KWANINI baada ya kuachana na mtu "wengi" hutamani 'mtaliki wake' apate mkong'oto wa maisha ajute kwanini aliachana na yeye?
kuna raha gani aliyekuwa kipenzi chako akiliona joto la jiwe kwa msongo wa mawazo, mapenzi na 'kufulia' ki maisha?

Mtu wa aina hii ujue ni sadist na ndiye alikuwa mbaya na kusababisha ndoa/uhusiano uvunjike...hakuwa tayari kuachwa na yuko radhi atumie muda na hata pesa kufuatilia ajue nini kinaendelea katka maisha yako,ikiwezekana hata kukudhuru.
Mtu kama huyu anajiumiza buree..bora aendelee na maisha yake.
 
mie naweka alama kabisa ajue kabisa kwamba mwanaume yule nilimkosea na hata kama kuachana basi na alama tena usoni anakoringia.
how to treat like them
Conquest
 
Back
Top Bottom