Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo binti sio mlokole ila ni muumini tu
nilikutana na binti mmoja pale mlimani city na kuanzisha naye mahusiano ya kawaida lakini baadaye akawa mpenzi wangu. Lakini baadaye yule binti akanieleza kuwa ameolewa na anaishi na mume wake pale river side na wote ni walokole wa kwa mzee wa upako.
Siku mmoja alinialika kwake kwenye sherehe ya graduation ya wifi yake anayemaliza form four mwaka huu. Tangu hapo mume wake amekuwa rafiki yangu wa karibu mno na tunataraji kufanya biashara ya pamoja kuagiza bidhaa za vyakula kutoka mikoani.
Tatizo langu ni kwamba binti kwa kweli ana mvuto lakini kwa upande mwingine najiona siwezi kumsaliti mumewe ambaye ni rafiki yangu mpya.
Sijielewi nifanyeje!?
Kweli kabisa inazua maswali mengi kuliko majibu!Hii story naona kama ina uwalakini fulani vile
mumewe amekuwa rafiki,ulitambulishwa kama nani?
hii story mbona ngumu kuamini????
mumewe amekuwa rafiki,ulitambulishwa kama nani?
hii story mbona ngumu kuamini????