Mr Fergie alex tayari kaangusha jiwe jipya kabisa ndani ya mashetani wekundu kwa kiasi cha kama £24 M hivi,bado tujiulize kama RVP ni mtu atayeleta changamoto na mafanikio ndani ya old trafford au ndo kaja kuwa kama berbatov (kaingia man u kukua). . . .Toa maoni yako kuhusu uhamisho huu ambapo atakuwa akilipwa £ 200,000 per week.
Nawasilisha wana old trafford aka wakereketwa.
Nawasilisha wana old trafford aka wakereketwa.