RO aozesha - Hongera mwanangu weee.. hongera..

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,474
39,987
Mzee mwenzangu na "mtani wa jadi" Bw. Rashid Othman - Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa anaoza wiki hii binti yake Sabrina kwa familia ya kina Zungu (Mbunge wa Ilala). Kwa niaba ya sisi "wengine" na "wao" tunamtakia bibi Harusi na Bwana Harusi ambaye anaishi UK maisha mema ya ndoa na kamwe wasije kujikuta kwenye visanga vya Mjamaika na Mke wa Waziri... katika Kumbatio la Mwenye Makosa...
 
Mwanakijiji, kama huyo bwana Othman ni "mzee" mwenzio na pia mtani wako wa jadi, sisi wengine tukueleweje? Mbona unatuchanganya!!
 
Mzee mwenzangu na "mtani wa jadi" Bw. Rashid Othman - Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa anaoza wiki hii binti yake Sabrina kwa familia ya kina Zungu (Mbunge wa Ilala). Kwa niaba ya sisi "wengine" na "wao" tunamtakia bibi Harusi na Bwana Harusi ambaye anaishi UK maisha mema ya ndoa na kamwe wasije kujikuta kwenye visanga vya Mjamaika na Mke wa Waziri... katika Kumbatio la Mwenye Makosa...

Nashangaa umechelewa kuipata habari hii. Naona kainzi kanalala usingizi siku hizi. Inasemekana ukumbi uliokodishwa mara ya kwanza umekuwa mdogo baada ya kubainika kwamba waalikwa kutoka sehemu mbali mbali duniani ni wengi mno kuliko uwezo wa ukumbi huo. Si ajabu kadi yako ya mwaliko iko njiani lol!
 
Nashangaa umechelewa kuipata habari hii. Naona kainzi kanalala usingizi siku hizi. Inasemekana ukumbi uliokodishwa mara ya kwanza umekuwa mdogo baada ya kubainika kwamba waalikwa kutoka sehemu mbali mbali duniani ni wengi mno kuliko uwezo wa ukumbi huo. Si ajabu kadi yako ya mwaliko iko njiani lol!

miye nimeombwa nitume salama kwa niaba ya marafiki wa zamani wa Bibi Harusi..
 
Nashangaa umechelewa kuipata habari hii. Naona kainzi kanalala usingizi siku hizi. Inasemekana ukumbi uliokodishwa mara ya kwanza umekuwa mdogo baada ya kubainika kwamba waalikwa kutoka sehemu mbali mbali duniani ni wengi mno kuliko uwezo wa ukumbi huo. Si ajabu kadi yako ya mwaliko iko njiani lol!

Mkuu umesahau kuna ile ya "special one" akisema a thousand flies wakila shyte???... probably kanzi kalikua busy kakila shyte
 
Matumizi ya hela za mafisadi ni harusi za kifahari tu na kuweka hela ktk benki za nje ya nchi!! Thats why white people they always think n know that we are folls. How can you spend billions or millions of money for wedding ceremony? Why don't you build a small industryatleast or a house for renting people or do something productive for the society? This is shocking
 
Kama kawaida, wenye nazo kwa wenye nazo, hadi ukumbi hautoshi, this world bwana!!! is not fair
 
Mwanakijiji you sound like u belong to the
ruling class.the elites.....
Are you???????????????
 
mwanakijiji hao rafiki wa biharusi wa jinsia gani?

hongera kwa kuozesha na pole kwa vijana ambao walikuwa wakimendea hapo...........wafunge kambi kwengine sasa
 
Matumizi ya hela za mafisadi ni harusi za kifahari tu na kuweka hela ktk benki za nje ya nchi!! Thats why white people they always think n know that we are folls. How can you spend billions or millions of money for wedding ceremony? Why don't you build a small industryatleast or a house for renting people or do something productive for the society? This is shocking

The power of Relativity is what ruling here Kaka!
 
...mzee wa sikinde na ki redio chake 24/7 ofisini.
Back to the topic, ....kama 'uwezo' unaruhusu rukhsa kufanya karamu ya kukata na shoka. Mheshimiwa ana ndugu, jamaa na marafiki toka pande zote za dunia, ndani na nje ya nchi.
BTW, harusi sawa na kuzaliwa au kifo ni tukio linalokutokea Once in a lifetime.
 
Back
Top Bottom