Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Mzee mwenzangu na "mtani wa jadi" Bw. Rashid Othman - Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa anaoza wiki hii binti yake Sabrina kwa familia ya kina Zungu (Mbunge wa Ilala). Kwa niaba ya sisi "wengine" na "wao" tunamtakia bibi Harusi na Bwana Harusi ambaye anaishi UK maisha mema ya ndoa na kamwe wasije kujikuta kwenye visanga vya Mjamaika na Mke wa Waziri... katika Kumbatio la Mwenye Makosa...