Mbona ule wimbo wajieleza wazi... kwanini wapuuzia zile ripoti ulizopewa na Huyu kijana machachari Izzo B... Anaiangamiza CCM baba ako . shauri yako Riz!!!!!!!!! Jaman ni tahadhari tu...
Mbona ule wimbo wajieleza wazi... kwanini wapuuzia zile ripoti ulizopewa na Huyu kijana machachari Izzo B... Anaiangamiza CCM baba ako . shauri yako Riz!!!!!!!!! Jaman ni tahadhari tu...
Da deki anaonyesha msure aliiona ila akamind dogo kacheza ubunifu noma kinoma aliona ni maujanja ya dogo kutoka ila si chochote ndani ya MESSAGE iliyomo ndani ya song la dogo IZZO B.Msure anajua sana kuliko Riz 1 na majanki wenzie walioko kitaa,msure anajua kupitia wakusanya wa yanayojiri kila kitaa mbona kudadeki awajamwambia soo lolote la kitaa kokote kule Bongo hii.Ndio maana akamwambia kuwa dogo kaonyesha maujana na song lake liko poa kwa kusikiliza lakini akampotezea kiaina kwa kuwa siunajua msure mtoto ukimpotezea sana nae achelewi kukumind kiana.
Hivyo Izzo B tafuta namna nyingine ibuka na song kwa Mzee Mwninyi labda mjuze huyo Mzee ampelekee UJUMBE,manake MRISHO MPOTO alituma message kitambo kwa MJOMBA lakini hakuna aliyemsikiliza alionekana anaimba ngonjera na issue nzima ikawa kitaa ndio wanajua anasema nini.
Ila dogo message watanzania waliisikia na wanaendelea kusikiliza song kitaa kama wanaendelea kusikiliza song la Roma na washikaji wengine wenye kujua maisha ya Mmbongo wa kawaida.Anyway tusubilie likisanuka kitaa mambo yote yataeleweka.
Wewe hujui kumtaja mtoto wa rais ni kosa? Ngoja usalama wa taifa waje wakuchomoe humu JF wakupeleke lupango!RIZ 1 atasema nini wakati Baba yake kamlambisha bingo sasa ni bilionea.
Has the end justified a mean!?Mbona ule wimbo wajieleza wazi... kwanini wapuuzia zile ripoti ulizopewa na Huyu kijana machachari Izzo B... Anaiangamiza CCM baba ako . shauri yako Riz!!!!!!!!! Jaman ni tahadhari tu...
Nilimsikia siku moja akiojiwa na EATV kwenye kipindi kimoja jina nimesahau,ila zamani kilikuwa kinaendeshwa na Salama Jabir akasema huo wimbo aliupenda na alimpelekea ile CD baba yake nae akafurahi huu ubunifu wa huyu kijana...Sasa sikujua ni kauli ya kinafiki au kweli....