Riziwan awavuruga UVCCM Dodoma na mamilioni

Dah tutasikia mengi,baada ya nzega ccm kula vitumbua vya kiwangala sasa zam ya rizmoko si nae angewapa tu vitumbua na chumvi plus pombe wanavipenda hawa!
 
The dollar princè is making it rain in desert idodomya...he is young ,rich, handsome and future head of state, yeees
 
kama wenyewe wameruhusu mtoto wa sultani kuwavuruga, mnalalama nini sasa??

Kubanjuana mbanjuane wenyewe, ikiuma mnakuja mbio kupiga kelele

bure kabisa
 
Naanza kuwa na wasiwasi na vijana walioko kwenye politics, napata hisia za kushiriki politics, maana wengi wao ni waoga wa kushindana, wanataka mwenzao asishiriki ili wapata mteremko, jamani pandeni mlima! hapo ndipo tutajua kweli mmekomaa na mnastahili kuwa viongozi wa siku za usoni, haiwezekana mfanye siasa za majungu then mseme mnastahili, Malisa na Mavunde kuna kipi ambacho ni tangible kama kipindi cha uongozi wenu? acheni siasa za rejareja. Pigeni mzigo, wanaume gani mnaona kivuli harafu mnakimbia! hamfai hata kuwa viongozi wa familia zenu.

hujui mambo yanavokwenda ndio mana una argue hivo,sikulaumu.nakuomba ujipe mda kufatilua kidogo jinsi siasa zinakwenda ndo utaelewa.
 
ridhiwan asipomuweka rais wake 2015 hakuna atakayelinda mabilioni yake ya wizi..lazima apange safu ya kuchakachua kura akisaidiwa na dingi....
 
Mtoto Rais Jakaya Kikwete, Riziwan, ambaye yupo Dodoma kuhudhuria vikao vya Kamati ya utekelezaji na Baraza kuu la vijana huko Dodoma amewavuruga vijana wenzake baada ya kuzidiwa hoja na vijana wengi nchi nzima kwenye vikao hivyo, sasa akaanza kutumia nguvu ya mamlaka/dola na mabilioni ya pesa ambayo amejitengenezea katika kipindi hiki cha Urais wa baba yake.

kwanza, anamtumia mtumishi wa UVCCM, Mzee Mipiko kubadilisha muhtasari/minutes za vikao vyote ili kuweza kulinda hoja zake ambazo alishindwa kwenye vikao. na kwasababu maamuzi ya UVCCM bado yanahitaji baraka za baba yake/ mwenyekiti wa chama, basi anataka kupeleka mapendekezo ambayo ni ya kulinda maslahi yake na Membe. bahati mbaya Katibu mkuu Shigela amekuwa makini sana na hata akamtonya Makamu Beno na muhtasari zote zikabadilishwa na zinaendelea kubadilishwa kutokana na mapendekezo ya vikao vya vijana.

pili, katika kujaribu kuanza kufanya kampeni ya watu kwenye uchaguzi nchi nzima na taifa, kwanza ni jambo ambalo linashangaza wengi, kwasababu anafanya kama vile Kikwete anautafuta Urais wa awamu ya tano au labda yeye angaombea. Kwakweli amejenga historia mpya ya familia za marais kwa nchi yetu ya Tanzania. Kwahiyo jana usiku aliwaita MAKATIBU WOTE wa MIKOA wa UVCCM na kuwapatia kila mmoja Tsh MILIONI MOJA, maana yake kama takribani MILIONI 30 jumla, na akwapa maelekezo na kuwatishia wengine kwamba wasipotii, ajira zao zitasitishwa. Haya nia matumizi mabaya sana ya madaraka na fedha za umma. Tunaomba tuikemee wote.

Sasa nyie vijana wenye akili timamu na uwezo wa kupambanua mbambo mnafanya nini huko CCM sijui UVCCM? Simtoke kwenye hilo tanuru? Vinginevyo mkae kimya mkubali yaishe.
 
Simpendi Ridhiwani Kikwete, ila hii habari inanitia shaka juu ya ukweli wake.
 
ccm inayumbishwa hata na makenge , mi sielewi kabisa, hawa jamaa ni chama kinachokufa, kinaangamia, mtoto huyo hana hata uelewa wa maswala nyeti zaidi ya mambo haramu anawayumbisha, ama kweli ccm ni chama cha mabwege
 
Taifa la dhuluma kama hili kamwe hatutapata maendeleo. Chadema tusonge mbele 2015 tuchukue nchi tuanze kuijenga kwa upya ccm hamna jipya
 
Huyu kijana si juzi tuu naskia kakamatwa china amebeba yale mavitu ambayo lazima unyongwe ukikutwa nayo,ikabidi mkuu apige waya wakutosha kuomba radhi wamnusuru asije akapigwa bismilah!!!mmmh ama kweli
 
Kwani polisi,takukuru,mahakama na usalama wa taifa ni mali ya nani? Obiusly ni mali ya ccm,hivyo vitalinda interest za riziwani.hawawezi kumkamata na kumpeleka mahakamani.kufanyika hayo tusubiri 2015 tu.
 
Hatumkei huyu mtoto,tunakemea CCM kwa ujumla wake the uchafu huu wote utatoweka, M4C is the only TOOL, Kama unachukia uozo huu ungana nasi katika M4C - haya maneno yamebeba ujumbe mzito sana, let us struggle;
 
huyu si anataka kugombea ubunge kwenye jimbo la mjomba wake singida magharibi?
ndo maana wakamhonga msaliti ghambaku ili jimbo lisiangukie mikononi mwa chadema sasa yule msaliti wakampa ukuu wa wilaya huko usukumani.
huyu mtoto ni kirusi kibaya sana katika nchi yetu.

PUMA at work!!! and so many of....
 
Hahahaha!! si huyo ndiye baba yake anashangaa hata utajiri wake hajui kaupata wapi!! wajinga ndio waliwao.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom