Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Jamani hii mechi kati ya hawa heavy weights ndani ya magamba itaishaje? January anataka kummwamwagia Ngeleja mchanga ndani ya Ubwabwa. Tayari Jairo nje Riz1 naye kando kwa hasira ile mbaya . Hii mechi mwisho ni vipi?