Mr. Zero, sasa huniamii tena! facts are sturbon things, wajemeni, issue isiwe kumiliki nyumba ya bilioni 1 bali mtu kuwa na bilioni moja kaipataje?, ndio maana Chenge akasema Dola milioni moja ni vijisenti tuu, issue kazipataje, kwa vile hajachukuliwa hatua zozote za kisheria maana yake ni halali.
Kuna thread huko nyuma niliwahi kusema, sisi Watanzania chuki binafsi zinatuponza, wahindi na waarabu ndio wamiliki wa karibu maghorofa yote makubwa Dar, wakiendesha sio tuu ma vogue hadi ferari na hana anauliza hata yule ni nani, sembuse kapa wapi fedha.
Akimiliki tuu mswahili, basi ndio inageuka nongwa, akipita mhindi na hammer, watu hawaulizani, akipita tuu mswahili, watu wanaulizana yule ni nani, wakisikia jina, then anafanya nini, pesa kapata wapi etc, etc.
Kama kuna real state agents humu, watuambie nyumba ya bilioni moja ndio ikoje kama ile ya gavana ni bilioni 4, hiyo nyumba ya bilioni moja ni ya kawaida sana tuu, na kuna watu wananyumba za bilioni 100! who cares!.
Angalizo: Msije dhania namtetea kijana kwa matendo yake, lakini tusiingilie sana uhuru wake binafsi, kisa ni mtoto wa rais, mwacheni!.
Naona hata uvivu kuongea. jinsi nilvyokua na shida hapa mjini then mtoto kama yule
anamiliki asset kama hiyo.
Kikwete= Muswati
Kwa wenzetu matajiri ni wafanyabiashara, wasanii, watu vipaji maalum, wagunduzi. Kwetu matajiri ni WANASIASA, familia zao na wapambe wao.
Mr. Zero, sasa huniamii tena! facts are sturbon things, wajemeni, issue isiwe kumiliki nyumba ya bilioni 1 bali mtu kuwa na bilioni moja kaipataje?, ndio maana Chenge akasema Dola milioni moja ni vijisenti tuu, issue kazipataje, kwa vile hajachukuliwa hatua zozote za kisheria maana yake ni halali.
Kuna thread huko nyuma niliwahi kusema, sisi Watanzania chuki binafsi zinatuponza, wahindi na waarabu ndio wamiliki wa karibu maghorofa yote makubwa Dar, wakiendesha sio tuu ma vogue hadi ferari na hana anauliza hata yule ni nani, sembuse kapa wapi fedha.
Akimiliki tuu mswahili, basi ndio inageuka nongwa, akipita mhindi na hammer, watu hawaulizani, akipita tuu mswahili, watu wanaulizana yule ni nani, wakisikia jina, then anafanya nini, pesa kapata wapi etc, etc.
Kama kuna real state agents humu, watuambie nyumba ya bilioni moja ndio ikoje kama ile ya gavana ni bilioni 4, hiyo nyumba ya bilioni moja ni ya kawaida sana tuu, na kuna watu wananyumba za bilioni 100! who cares!.
Angalizo: Msije dhania namtetea kijana kwa matendo yake, lakini tusiingilie sana uhuru wake binafsi, kisa ni mtoto wa rais, mwacheni!.
This kid doesn't own any property in Dar. This is one of those false allegations that you dumb-a*ss fools out there have been fabricating all these years. Should you have any credible evidence then you should report it to TAkukuro! Afterall what's the big deal with 1 Million USD mansion?
This kid doesn't own any property in Dar. This is one of those false allegations that you dumb-a*ss fools out there have been fabricating all these years. Should you have any credible evidence then you should report it to TAkukuro! Afterall what's the big deal with 1 Million USD mansion?
Labda pia ni wakati muafaka wa kufahamu ni watoto wa vigogo gani wanashiriki katika mtandao wa madawa ya kulevya....kuna watu wana serious concern katika hili,tuache ushabiki na utani kwenye mambo yanayolihusu taifa letu...
This kid doesn't own any property in Dar. This is one of those false allegations that you dumb-a*ss fools out there have been fabricating all these years. Should you have any credible evidence then you should report it to TAkukuro! Afterall what's the big deal with 1 Million USD mansion?
WASTED :llama:
Personal issues ila ridhwan nafikiri sio kula kula kulala kwa baba kama unavyofikiri wewe.. ni msomi aliyemaliza UDSM! ni TZ its a free country sio china kwamba wakuite na kukuuliza pesa umepata wapi..?! PS si kiongozi wa serikali PIA Nafikiri hiyo ina kutoa nje kabisa ya kuhoji kila anachomiliki yeye binafsi
Kweli wewe ********* sasa unaonyesha wazi makucha uliyokuwa umeyaficha. Siku zako na wenzako mliozoea kutunyonya zimefikia ukingoni. Wewe na wenzako mnahaha kwa kuwa hao waliokuwa wanawabeba mambo hayawaendei vizuri. Fungasha uondoke kabla hatujaichukua nchi yetu. Kama huelewi kama tumechoka kunyonywa na kudhalilishwa na watu kama wewe na vibaraka wenu walio madarakani ambao wamewapa njia zote za kutunyonya, subiri Oktoba 31. Sauti ya wanyonge itakaposema wazi kuwa tumechoka na kuwaondoa hao vibaraka. Hamna hata ustaarabu, mmepokelewa sasa mnatukana wenyeji. Tuthibitishie kama 'mtoto' hana hiyo nyumba, siyo uje na matusi hapa. Tanzania ni nchi yetu, siyo ya *********.This kid doesn't own any property in Dar. This is one of those false allegations that you dumb-a*ss fools out there have been fabricating all these years. Should you have any credible evidence then you should report it to TAkukuro! Afterall what's the big deal with 1 Million USD mansion?
this kid doesn't own any property in dar. This is one of those false allegations that you dumb-a*ss fools out there have been fabricating all these years. Should you have any credible evidence then you should report it to takukuro! afterall what's the big deal with 1 million usd mansion?
kawaida kama MAMA anatumi tufedha kidogo kwenye safari kama tumilion 22 tu, muulize Kinana! iweje kwa ajili ya Nyumba bwana!!