Kwa hiyo unamaanisha kuwa Vogue/Hummer inagharimu zaidi ya Billioni moja?IMMA ni moja ya reputable law firms hapa mjini, nimeona young lowyers waliojiunga nayo juzi tuu, leo wameshavuta ma-vogue na ma Hammer barabarani, itakuwa hiyo bilioni?!.
Kwa hiyo unamaanisha kuwa Vogue/Hummer inagharimu zaidi ya Billioni moja?IMMA ni moja ya reputable law firms hapa mjini, nimeona young lowyers waliojiunga nayo juzi tuu, leo wameshavuta ma-vogue na ma Hammer barabarani, itakuwa hiyo bilioni?!.
papa mdogo anaitwa APAP!Papa Mkubwa PAPA, je Papa mdogo???..!
Yes haruhusiwi kupata hizo funds kifisadi kama huyu mnayemtetea sasa.Hii thread sijui inatusaidia nini? Yani mtoto wa rais wa Tz hatakiwi awe na sh bilion moja wala hatakiwi awe na uwezo wa kukopa benki hiko kiasi. Hivi tumefanya utafiti na kubaini ni watanzania wangapi leo hii wanaweza kuwa na sh bilion 1? Au ni Chenge tu na RiziOne? Wakati mwingine tujadili yanayoleta tija kwa taifa, haya mambo ya kuhisi na kuhukumu yanadhoofisha utashi wa JF.
Mr. Zero, sasa huniamii tena! facts are sturbon things, wajemeni, issue isiwe kumiliki nyumba ya bilioni 1 bali mtu kuwa na bilioni moja kaipataje?, ndio maana Chenge akasema Dola milioni moja ni vijisenti tuu, issue kazipataje, kwa vile hajachukuliwa hatua zozote za kisheria maana yake ni halali.
Kuna thread huko nyuma niliwahi kusema, sisi Watanzania chuki binafsi zinatuponza, wahindi na waarabu ndio wamiliki wa karibu maghorofa yote makubwa Dar, wakiendesha sio tuu ma vogue hadi ferari na hana anauliza hata yule ni nani, sembuse kapa wapi fedha.
Akimiliki tuu mswahili, basi ndio inageuka nongwa, akipita mhindi na hammer, watu hawaulizani, akipita tuu mswahili, watu wanaulizana yule ni nani, wakisikia jina, then anafanya nini, pesa kapata wapi etc, etc.
Kama kuna real state agents humu, watuambie nyumba ya bilioni moja ndio ikoje kama ile ya gavana ni bilioni 4, hiyo nyumba ya bilioni moja ni ya kawaida sana tuu, na kuna watu wananyumba za bilioni 100! who cares!.
Angalizo: Msije dhania namtetea kijana kwa matendo yake, lakini tusiingilie sana uhuru wake binafsi, kisa ni mtoto wa rais, mwacheni!.
hapo kwenye nyekundu hakuna ubaya kabisa, ila tatizo wanafanya hizo kampeni kwa gharama ya nani?, maana isiwe fedha wanazokatwa walmu na police ndizo mama salma anazokodiwa ndege
Napata fadhaiko pale itakapo fikia siku baba,mama na mwana (BMW) wanapoweza kufikishwa kwenye mahakama moja kwa kesi ya uhujumu uchumi sijui huzuni itakuwaje ndani ya familia?
Samahani nilikuwa naota tuu.
kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwiMimi nilimpa offer ya hii kwa 1m yeye akataka ya 1bn
JK sio kwamba anacheka na kuwalea tu wahalifu bali yeye mwenyewe ni muhalifuDawa yao ni kumchagua SLAA,jk ANACHEKA NAKULEA WAHALIFU,TUMCHINJIE BAHARINI TAREHE 31 0CT,CHADEMA ndio mpango mzima.
ccm ndo tunasema huo ni wivu sasa mbona bilion 1 kwa nyumba (PRESIDENTIAL BUILDING) kawaida saana sioni tatizo kwa hili bwana!
alimaanisha hata malipo yake anapokuwa kazini analipya kifisadi kila kitu niuchafu tu. Yule mtoto ni mchafu bwana!Pasco kama ndio hivyo ma advocate wote wangekuwa mabilionea. hapa ukweli uwekwe wazi tu kuwa na mdingi ana mkono hapo.
Bora ungesema ni Mtoto wa rais kidogo ningekuelewa.
Inasemekana Riz1 alinunua nyumba ya thamani ya Tsh bilioni moja (1,000,000,000/=) maeneo ya masaki,
Swali: Ana mradi gani wa kupata hela hizi zote? au ndo maana familia nzima inapambana kurudi Ikulu?. Mwenye huakika atujulishe.
Eti unasemaje? Kwani huyu dogo kamaliza chuo lini na kafanya kazi ya mshahara wa shilingi ngapi hadi kumiliki nyumba ya 1b? Kama ni kawaida wewe unayo? Hatujawahi kusikia kama ana biashara anafanya kumuongezea kipato.
Sorry to say this but i don't buy it.
Huwezi kuona tatizo, hata wewe umefaidika na pesa za wizi. Tufafanulie IMMMA wanamlipa Rizi kiasi gani kwa mwezi? Anafanya biashara za aina gani? Amelipa kodi stahili?ccm ndo tunasema huo ni wivu sasa mbona bilion 1 kwa nyumba (PRESIDENTIAL BUILDING) kawaida saana sioni tatizo kwa hili bwana!
mmmh hapo ndo namkumbuka dada yangu amina. Rip sisterlabda pia ni wakati muafaka wa kufahamu ni watoto wa vigogo gani wanashiriki katika mtandao wa madawa ya kulevya....kuna watu wana serious concern katika hili,tuache ushabiki na utani kwenye mambo yanayolihusu taifa letu...
Again nani Tanzania amechukuliwa hatua kwa kupata pesa nyingi isivyo kihalali? heck tumemuona baba yake anawapigia kampeni akina Mramba (kesi yake iko mahakamani), Lowassa na Rostam.Mr. Zero, sasa huniamii tena! facts are sturbon things, wajemeni, issue isiwe kumiliki nyumba ya bilioni 1 bali mtu kuwa na bilioni moja kaipataje?, ndio maana Chenge akasema Dola milioni moja ni vijisenti tuu, issue kazipataje, kwa vile hajachukuliwa hatua zozote za kisheria maana yake ni halali.
Hiyo nyumba ya bil 100 iko Tanzania hii au?Kama kuna real state agents humu, watuambie nyumba ya bilioni moja ndio ikoje kama ile ya gavana ni bilioni 4, hiyo nyumba ya bilioni moja ni ya kawaida sana tuu, na kuna watu wananyumba za bilioni 100! who cares!.