omarilyas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2007
- 2,130
- 145
Sishangai hata kidogo. Jina la huyu kijana limekuwa likitajwa kwenye miradi ya Richmond, Dowans n.k ambayo ni dhuluma kwa raia wa tanzania
Kaka hapa unamuonea. Aliyekuwa anatajwa ni mwingine kabisa mwenye asili ya huko Arusha. Ridhwani anaweza kuwa na yake lakini hili la Dowans wala Richmond msimuingize...