Riz-one umesikia yalomkuta Andrew Banda?

Bajabiri

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
9,730
1,201
Andrew Banda ni mtoto wa aliyekua rasi wa Zambiaamefikishwa mahakaman kwa kujihusisha na rushwa pamoja na kujilimbikizia mali isivyo halali,ingawa kwa sasa ni baloz mdogo nchini India,ila Andrew amepelekwa mahakaman kwa kosa la kutuhumiwa kupokea rushwa kwa kampun ya kiitaliano ambayo imeshinda zabun ya ujenzi wa barabara,lakin andrew amepinga,amesema kampun hiyo ilimlipa kihalali kwa kazi ambayo aliwafanyia(yaya ana kampuni yake),pia anatuhumia kutumia dola elfu sabini kwenye akaunti yake,ila haieleweki zilipatikanaje na alizitumiaje,pamoja na hayo mdogo wake naye anatafutwa na haijulikan alipoinawezekana kuwa kuna visasi lakini pia zambia inaonekana inapambana na Ufisad
Kwanini namtaja riz-one hapa????maana amekua akitajwa sana kuwa UKWASI wake ni wa magumashi,na watu wamekua wakiuhoji sana,,,,,jana nilisikia watu wakimzungumzia kwenye daladala,lakini hata hapa jf tumekua tukimjadili,,,,,,LISEMWALO LIPO.......ikitokea mtu akataka kumchunguza siku zijazo aungwe mkono huyu mhitim wa sheria udsm ambae hana hata miaka kumi kwenye ajira
 
Andrew Banda ni mtoto wa aliyekua rasi wa Zambiaamefikishwa mahakaman kwa kujihusisha na rushwa pamoja na kujilimbikizia mali isivyo halali,ingawa kwa sasa ni baloz mdogo nchini India,ila Andrew amepelekwa mahakaman kwa kosa la kutuhumiwa kupokea rushwa kwa kampun ya kiitaliano ambayo imeshinda zabun ya ujenzi wa barabara,lakin andrew amepinga,amesema kampun hiyo ilimlipa kihalali kwa kazi ambayo aliwafanyia(yaya ana kampuni yake),pia anatuhumia kutumia dola elfu sabini kwenye akaunti yake,ila haieleweki zilipatikanaje na alizitumiaje,pamoja na hayo mdogo wake naye anatafutwa na haijulikan alipoinawezekana kuwa kuna visasi lakini pia zambia inaonekana inapambana na Ufisad
Kwanini namtaja riz-one hapa????maana amekua akitajwa sana kuwa UKWASI wake ni wa magumashi,na watu wamekua wakiuhoji sana,,,,,jana nilisikia watu wakimzungumzia kwenye daladala,lakini hata hapa jf tumekua tukimjadili,,,,,,LISEMWALO LIPO.......ikitokea mtu akataka kumchunguza siku zijazo aungwe mkono huyu mhitim wa sheria udsm ambae hana hata miaka kumi kwenye ajira

LISEMWALO LIPO
kwa hiyo wanaposema chama chenu ni chaga developement manifesto ni kweli ?
 
LISEMWALO LIPO
kwa hiyo wanaposema chama chenu ni chaga developement manifesto ni kweli ?

umeamka na pampasi unakurupuka tu,,,,chama changu kipi????yaani mada hujaielewa inahusu nini au umejisikia kutapikia hapa.....kimetajwa chama hapo????
 
LISEMWALO LIPO
kwa hiyo wanaposema chama chenu ni chaga developement manifesto ni kweli ?

Samahani Riz hata kama dini inamruhusu kuoa wake wengi kasema aliokua nao wanamtosha

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
]umeamka na pedi unakurupuka tu[/COLOR],,,,chama changu kipi????yaani mada hujaielewa inahusu nini au umejisikia kutapikia hapa.....kimetajwa chama hapo????

ehh jaman mbona ivo?
ukiamka na ped ndo akili inakuwa finyu?ahh mi sijaipenda i...ungetoa neno ped km hauitaj kuwatusi watumizi wa ped.


bak 2topk yap...kaka riz one aamke aache kumtegemea baba kumpa dili kwa jina lake cz dng akided sheria itamfyeka....AAMKE.

mbona watoto wa mkapa mie sikuwaskia jaman km awa watoto wa ******?
wa nyerere?
au wao walikuwa awajui jinsi ya KUWALEA watoto?
 
Samahani Riz hata kama dini inamruhusu kuoa wake wengi kasema aliokua nao wanamtosha

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums


ujinga tu
mtoto mdg wake mia.......na anapenda mashoga hatar.....MUNGU APEND....au sunaaa?
na apo apo kaz za nje 3000
dzain anataka kumshnda mfalme suleiman...shauriro babu utababuka jojoa iyo ushindwe kukojoa haya nsasema mie....:israel:
 
ehh jaman mbona ivo?
ukiamka na ped ndo akili inakuwa finyu?ahh mi sijaipenda i...ungetoa neno ped km hauitaj kuwatusi watumizi wa ped.


bak 2topk yap...kaka riz one aamke aache kumtegemea baba kumpa dili kwa jina lake cz dng akided sheria itamfyeka....AAMKE.

mbona watoto wa mkapa mie sikuwaskia jaman km awa watoto wa ******?
wa nyerere?
au wao walikuwa awajui jinsi ya KUWALEA watoto?

oooh,samahan dadangu,nimebadili....huyu mwehu alianza kuitbua IJUMAA YANGU
 
Samahani Riz hata kama dini inamruhusu kuoa wake wengi kasema aliokua nao wanamtosha

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

ah,,,mambo ya wake zake hapa yanahusika????akoding to the sridi
 
ujinga tu
mtoto mdg wake mia.......na anapenda mashoga hatar.....MUNGU APEND....au sunaaa?
na apo apo kaz za nje 3000
dzain anataka kumshnda mfalme suleiman...shauriro babu utababuka jojoa iyo ushindwe kukojoa haya nsasema mie....:israel:

lah....salalaaaaaaaaaa............mbele kachoka?????MUOSHA HUOSHWA JAMAN
 
ehh jaman mbona ivo?
ukiamka na ped ndo akili inakuwa finyu?ahh mi sijaipenda i...ungetoa neno ped km hauitaj kuwatusi watumizi wa ped.


bak 2topk yap...kaka riz one aamke aache kumtegemea baba kumpa dili kwa jina lake cz dng akided sheria itamfyeka....AAMKE.

mbona watoto wa mkapa mie sikuwaskia jaman km awa watoto wa ******?
wa nyerere?
au wao walikuwa awajui jinsi ya KUWALEA watoto?

​Huko kutokuwasikia inaweza ikawa ndo fursa zaidi kwao kula mema ya nchi kuliko Riziwani Mnaemsikia.
 
​Huko kutokuwasikia inaweza ikawa ndo fursa zaidi kwao kula mema ya nchi kuliko Riziwani Mnaemsikia.

so nae ale kwakua watoto wa mkapa hawajasikika wakila,hata kama wanakula????
 
Dr.slaa au EL wakichukua nchi walai jamaa lazima aende ukonga,ila wachovu kama migiro au membe aaaah jamaa atazidi kula shushu..
 
Usihofu bajabiri tuna majembe mengi kama kina mtikila watampeleksha tu.

the man whom i admire,,,mtikila bhana sijui hua anapata wapi pesa za kuendeshea kesi kwakweli......kweli upinzan haupi kwenye majukwaaaa,,,
 
Back
Top Bottom