Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Afadhali mzee wetu wa kiraracha yeye alifikwa na majonzi ya hali ya juu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ni kwenye msiba wa Kanumba?
Riz kacheka kwa kimsamba msamba.
Steve full kujipendekeza
Ray, wala hayupo hapo kiakili anajaribu tu kuwasindikiza
Cheni hajui alitendalo.
Ungesema basi tendo lipi halijaumbwa ili tusilitendeKucheka kumeumbwa jamani...............Hata hili ni la kujadili kweli.................!
Kucheka kumeumbwa jamani...............Hata hili ni la kujadili kweli.................!
Hivi unaweza kukaa na stiv nyerere usucheke hata kama umefiwa na mke walo?!
Afadhali mzee wetu wa kiraracha yeye alifikwa na majonzi ya hali ya juu...
Rizmoko maisha matamu mda wote ni kufurahi tu,Ray mbona anavaa miwani mda wote kwenye msiba? Anaona soo nini? Safi sana waziri wa mambo ya ndani mstaafu!