Shapu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2008
- 2,111
- 790
Nia yangu si kukupinga juu ya ulichosema kuhusu Rita.Kimfupi simfahamu huyo dada kwa sana ila concern yangu ni moja tu...unapokuwa na mtu kama yeye basi unategemea kuna watoto vijana na watoto watampenda na wanaweza kumchukulia kama role model wao kwa hiyo haitoshi tu kwa yeye kuwa mtoa vitu na mwenye upendo sana....ndo kusema hata her conduct nje inakuwa ni jambo la msingi sana.
Hivyo licha ya sifa nyingi...nafikiri suala ya yeye kuishi responsibly ili vijana wetu waweze kujifunza zaidi toka kwake ni la msingi.Unapokuwa public figure nafikiri kuna mambo kadhaa ya kuzingatia.
Huo ni mtazamo wangu binafsi tu na sina nia ya kuonesha Rita haishi vizuri huko nje.
Pse in red. Dare to speak openly. Nahisi kunakitu unataka kusema. Just talk this is a place bwana hakuna sehemu nyingine yeyote.