Kuna ulazima wa kupeleka ritani za vat ktk ofisi za tra (w) manually na tena kutuma head office kupitia email.
Nimekuta afisa elimu kwa walipa kodi kamlazimisha ndugu yangu na wafanyabiashara wengine kufanya hivyo,je kuna legal document au tangazo linaloelekeza kufanya hivyo.
Nimekuta afisa elimu kwa walipa kodi kamlazimisha ndugu yangu na wafanyabiashara wengine kufanya hivyo,je kuna legal document au tangazo linaloelekeza kufanya hivyo.