Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Waberoya lazima tuelewe kuwa unapopigania haki kati ya watu wasiotaka haki utapachikwa shutuma nyingi mno lakini uvumulivu unahitajika,sio ukishutumiwa tu unajivua gamba wakati huna gamba.Magamba yako ccm wamevua na wataendelea kuvua.