Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
umesoma sua nini? Nina wasiwasi utakuwa na div 3 advance, make division 1 nzuri zinaishia udsm, mzumbe na muhimbili.
hapo umesema
umesoma sua nini? Nina wasiwasi utakuwa na div 3 advance, make division 1 nzuri zinaishia udsm, mzumbe na muhimbili.
Elimu ya Tanzania inashuka siku hadi siku. Nimeshafanyia interview graduate wengi sana toka universties zetu na kweli huwa inatia huruma. the guys are not competent at all.
UDSM - Crap
Tumaini - Total crap if possible kifungiwe
Mzumbe - at least
IFM - mmmmmmm
SUA - Safi
Unajua hata nyie sometimes tunawaona shalo sana kwa maswali mnayo uliza??.
Umesoma SUA nini? Nina wasiwasi utakuwa na Div 3 advance, make Division 1 nzuri zinaishia UDSM, Mzumbe na Muhimbili.
ni bora tujadili hilo maana kweli kuna upungufu mkubwa sana wa ma phd holder tanzania siyo kwa UDOM tu na hiyo ndiyo nasema imesababishwa na UDSM kama chuo mama.sasa hao maprof mnaowataka waende UDOM watoke wapi? wakitoka nje ya nchi manalalamika wakitoka UDSM ndiyo tunakiua.Wana jf sasa tuanze kusoma phd ili tuokoe jahazi acheni kulizika na vi masters vyenu vya MBA
Wewe Kenge nina BA Economics 1st class (UDSM 1991) na Masters - London School of Economics also with flying color. So I can never be shallow
UDSM kwisha habari yake sasa hivi, u better go for open universities.
Mimi nawashangaa sana wanaokiponda UDOM ni watu hatari sana katika mabadiliko ya elimu nchini wamesahau kabisa ukiritimba wa UDSM miaka iliyopita ambapo ma lecturer walikuwa wanajiona kama Miungu watu.Waliosoma UDSM watakumbuka mfano pale foe(engineering) watu walikuwa wana DISCO fourth year halafu wanarudi nyumbani kama form six.Imagine mtu ume struggle mpaka fourth year halafu wanakuchakachua.Je ni kweli kuwa utamulinganisha mtu huyu na form six?
Na mtakumbuka kuwa wengine walikimbilia vyuo vingine kama mzumbe, uclas(Ardhi sasa) na leo ni wataalamu wazuri na wengine wako humu jf tunawajua kwahiyo wali proof wrong kuwa wao ni vilaza bali tu umimi wa malecturer wa Ud wakati huo walitaka waonekane wao tu na leo hii ndiyo wameifikisha UDSM njia panda maana malecturer wanakimbilia vyuo vingine kutafuta better life.
Jinsi walivyokuwa wabinafsi walikuwa hawataki watu wa second class wasome masters maana walikuwa wanajua first class lazima wanakuwa wachache sana na hata hao wachache hawakupenda kuendelea kutokana na ukiritimba wao.Walijua wako wenyewe tu hawana mpinzani?kama ambavyo leo tunavyolia na TANESCO.
Mwisho inatakiwa tujadili challenge zinazoikabili UDOM na vyuo vingine vipya na kutoa maoni tufanyeje ili kiweze kuwa bora na kutokuwa white elephant kuliko kuanza kukiponda maana tunawakatisha tamaa vijana wanaosoma pale.Tuache mawazo mgando kwamba chuo kinachofelisha ndicho bora.mbona hata wale jamaa zetu wa degree za kununua ndiyo wanatuongoza? hamjawasema je hawa wanaokaa chuo 4years?
anney, unaijua UDOM?
Tatizo kubwa kwa vijana wa sasa ni uvivu wa kusoma, na hii ni kwa vyuo vikuu vyote. Vijana musipende starehe kabla ya wakati someni kwanza.
Na kwa nini tusichukuwe walimu kutoka nje ili kuboresha elimu yetu? Mimi nimesoma UDSM kwenye miaka ya sabini na tulikuwa nao walimu kutoka nje, mfano Statistics tulifundishwa na mwalimu Mkenya.
Sasa iweje leo isiwezekane?
Vile vile walimu wako kwenye harakati za kutafuta pesa kwa kufanya consultancies nyingi kwa mwaka na muda mdogo ndiyo wanatoa kwa wanafunzi. Hii inaonyesha system yetu ina walakini na inahitaji kurekebishwa.
Do you also happen to have a PhD from Cornell University? Kama nakufahamu vile.Wewe Kenge nina BA Economics 1st class (UDSM 1991) na Masters - London School of Economics also with flying color. So I can never be shallow
UDSM kwisha habari yake sasa hivi, u better go for open universities.
Wewe Kenge nina BA Economics 1st class (UDSM 1991) na Masters - London School of Economics also with flying color. So I can never be shallow
UDSM kwisha habari yake sasa hivi, u better go for open universities.
Wewe kenge nimemaliza UDSM 1991 - BA Ecomics 1st Class and I connected to London school of Economics for a Masters degree which I did very well. So sio mtu wa Div 3. Kikubwa mkubali kuwa elimu imeshuka sana sana, you better go for open universities
Wewe Kenge nina BA Economics 1st class (UDSM 1991) na Masters - London School of Economics also with flying color. So I can never be shallow
UDSM kwisha habari yake sasa hivi, u better go for open universities.
Umesoma SUA nini? Nina wasiwasi utakuwa na Div 3 advance, make Division 1 nzuri zinaishia UDSM, Mzumbe na Muhimbili.