Rise and fall of udsm

elimukwanza

Senior Member
Dec 27, 2010
168
23
Mimi nawashangaa sana wanaokiponda UDOM ni watu hatari sana katika mabadiliko ya elimu nchini wamesahau kabisa ukiritimba wa UDSM miaka iliyopita ambapo ma lecturer walikuwa wanajiona kama Miungu watu.Waliosoma UDSM watakumbuka mfano pale foe(engineering) watu walikuwa wana DISCO fourth year halafu wanarudi nyumbani kama form six.Imagine mtu ume struggle mpaka fourth year halafu wanakuchakachua.Je ni kweli kuwa utamulinganisha mtu huyu na form six?
Na mtakumbuka kuwa wengine walikimbilia vyuo vingine kama mzumbe, uclas(Ardhi sasa) na leo ni wataalamu wazuri na wengine wako humu jf tunawajua kwahiyo wali proof wrong kuwa wao ni vilaza bali tu umimi wa malecturer wa Ud wakati huo walitaka waonekane wao tu na leo hii ndiyo wameifikisha UDSM njia panda maana malecturer wanakimbilia vyuo vingine kutafuta better life.
Jinsi walivyokuwa wabinafsi walikuwa hawataki watu wa second class wasome masters maana walikuwa wanajua first class lazima wanakuwa wachache sana na hata hao wachache hawakupenda kuendelea kutokana na ukiritimba wao.Walijua wako wenyewe tu hawana mpinzani?kama ambavyo leo tunavyolia na TANESCO.

Mwisho inatakiwa tujadili challenge zinazoikabili UDOM na vyuo vingine vipya na kutoa maoni tufanyeje ili kiweze kuwa bora na kutokuwa white elephant kuliko kuanza kukiponda maana tunawakatisha tamaa vijana wanaosoma pale.Tuache mawazo mgando kwamba chuo kinachofelisha ndicho bora.mbona hata wale jamaa zetu wa degree za kununua ndiyo wanatuongoza? hamjawasema je hawa wanaokaa chuo 4years?

 
Fanya utafiti kwanza ndiyo uandike hayo humu. Hao wanao nunua shahada ndiyo hao hao waliolete Richmond, downs n.k. Kuijadili UDOM kama chuo cha kata ni kuipa changamoto ili iweze kuboresha utoaji wa elimu. Tungekaa kimya wangeendelea kufundisha kwa nadharia na itaiigawa na vyuo vingine.
 
nashukuru kwa post hii.mimi nasoma udsm.nimesoma falsafa katika chuo cha nje.ukweli ni kuwa udsm ni RELIC imeoza.natamani nisingesoma hapa.wanafunzi wanakarirg madesa ya open university,ukiuliza swali gumu kwenye semina unachukiwa na wanafunzi na walimu.hakuna research,wala long pepar kwa undergraduates.methology haifundishwi,badala yake communication skills.ile gs ya sekondari.so hawawezi kuandika scholary pepar.
Mada kuu chuoni ni timu za mpira,siyo mijadala ya kitaaluma.yaani inatia kinyaa.mimi nasoma ualimu.nimefanya field na wanavyuo vingine.observation yangu ni kuwa watu wa vyuo kama udom na st augustine wako competent zaidi yetu udsm.msiseme tatizo ni langu binafsi,hapa nafanya general analysis.ulizeni pia wakuu wa shule mbalimcli kuthibitisha hili.
Kuna sifa moja kubwa na ya jumla kwa udsm.hawana maadili na wengi huendekeza uhuni wa kunywa pombe (kulewa),uasherati,uzinzi na kutazama ponography.nilipata shida kwani chumba nilichopangiwa na watu wa udsm ilikuwa usiku ni kuangalia picha chafu.nakumbuka kuna mwana udom aliibiwa suti yake na wanafunzi wa udsm.fikiri mwanachuo chuo kuiba nguo ya kuvaa.
Kwangu mimi ubora wa vyuo kwa sasa ni ,st augustine,mzumbe,sua,udom,udsm,tumaini.n.k nimevitaja lwa order ya ubora.udom ni kizuri,na kitakuja kuwa kizuri zaidi.udsm tuache ujivuni,umaarufu wake ni historia,siyo sasa
 
nashukuru kwa post hii.mimi nasoma udsm.nimesoma falsafa katika chuo cha nje.ukweli ni kuwa udsm ni RELIC imeoza.natamani nisingesoma hapa.wanafunzi wanakarirg madesa ya open university,ukiuliza swali gumu kwenye semina unachukiwa na wanafunzi na walimu.hakuna research,wala long pepar kwa undergraduates.methology haifundishwi,badala yake communication skills.ile gs ya sekondari.so hawawezi kuandika scholary pepar.
Mada kuu chuoni ni timu za mpira,siyo mijadala ya kitaaluma.yaani inatia kinyaa.mimi nasoma ualimu.nimefanya field na wanavyuo vingine.observation yangu ni kuwa watu wa vyuo kama udom na st augustine wako competent zaidi yetu udsm.msiseme tatizo ni langu binafsi,hapa nafanya general analysis.ulizeni pia wakuu wa shule mbalimcli kuthibitisha hili.
Kuna sifa moja kubwa na ya jumla kwa udsm.hawana maadili na wengi huendekeza uhuni wa kunywa pombe (kulewa),uasherati,uzinzi na kutazama ponography.nilipata shida kwani chumba nilichopangiwa na watu wa udsm ilikuwa usiku ni kuangalia picha chafu.nakumbuka kuna mwana udom aliibiwa suti yake na wanafunzi wa udsm.fikiri mwanachuo chuo kuiba nguo ya kuvaa.
Kwangu mimi ubora wa vyuo kwa sasa ni ,st augustine,mzumbe,sua,udom,udsm,tumaini.n.k nimevitaja lwa order ya ubora.udom ni kizuri,na kitakuja kuwa kizuri zaidi.udsm tuache ujivuni,umaarufu wake ni historia,siyo sasa

umeangalia list ya best university in afrika... can u fnd udom.........! Kuwa na data ndo uongee. Hv ni halali kwa mwanafunzi wa chuo kufundishwa na tutorial... Unasoma hadi unamaliza hujawahi kufundishwa na dokta....halafu unataka watu wasifie udom....! Itakuwa ni kulea ugonjwa....
 
Tatizo la ma-TA kufundisha nadhani si la UDOM pekee... hata Mzumbe hili ni tatizo... kwakweli inabidi hili swala liangaliwe kwa makini..Vyuo vya wenye kujua nini maana ya ELIMU huu uchafu hawaufanyi... Hata PhD wenyewe km huna uzoefu wa kufanya utafiti vya kutosha , huingii darasani kufundisha (hii ni pamoja na kutunga na kusahihisha mitihani)........
 
ni bora tujadili hilo maana kweli kuna upungufu mkubwa sana wa ma phd holder tanzania siyo kwa UDOM tu na hiyo ndiyo nasema imesababishwa na UDSM kama chuo mama.sasa hao maprof mnaowataka waende UDOM watoke wapi? wakitoka nje ya nchi manalalamika wakitoka UDSM ndiyo tunakiua.Wana jf sasa tuanze kusoma phd ili tuokoe jahazi acheni kulizika na vi masters vyenu vya MBA
 
Mimi nawashangaa sana wanaokiponda UDOM ni watu hatari sana katika mabadiliko ya elimu nchini wamesahau kabisa ukiritimba wa UDSM miaka iliyopita ambapo ma lecturer walikuwa wanajiona kama Miungu watu.Waliosoma UDSM watakumbuka mfano pale foe(engineering) watu walikuwa wana DISCO fourth year halafu wanarudi nyumbani kama form six.Imagine mtu ume struggle mpaka fourth year halafu wanakuchakachua.Je ni kweli kuwa utamulinganisha mtu huyu na form six?
Na mtakumbuka kuwa wengine walikimbilia vyuo vingine kama mzumbe, uclas(Ardhi sasa) na leo ni wataalamu wazuri na wengine wako humu jf tunawajua kwahiyo wali proof wrong kuwa wao ni vilaza bali tu umimi wa malecturer wa Ud wakati huo walitaka waonekane wao tu na leo hii ndiyo wameifikisha UDSM njia panda maana malecturer wanakimbilia vyuo vingine kutafuta better life.
Jinsi walivyokuwa wabinafsi walikuwa hawataki watu wa second class wasome masters maana walikuwa wanajua first class lazima wanakuwa wachache sana na hata hao wachache hawakupenda kuendelea kutokana na ukiritimba wao.Walijua wako wenyewe tu hawana mpinzani?kama ambavyo leo tunavyolia na TANESCO.

Mwisho inatakiwa tujadili challenge zinazoikabili UDOM na vyuo vingine vipya na kutoa maoni tufanyeje ili kiweze kuwa bora na kutokuwa white elephant kuliko kuanza kukiponda maana tunawakatisha tamaa vijana wanaosoma pale.Tuache mawazo mgando kwamba chuo kinachofelisha ndicho bora.mbona hata wale jamaa zetu wa degree za kununua ndiyo wanatuongoza? hamjawasema je hawa wanaokaa chuo 4years?


Udom ni chuo kikuu?
 
Wandugu mimi mmeniacha mbali katika hii mada. Naomba kupata kujua mambo haya:-
(1). Uhusiano wa kichwa cha habari na yanayosemwa ndani (2). Maana halisi ya Chuo Kikku ni nini? na ubra wa Chuo Kikuu ni nini? (3). Chuo kipi ambacho hakina uhuni na kutokua na maadili? (5). Nini hasa kifanyike ili UDSM kisianguke?

Tafadhali naombeni msaada maana hivi vyote vinavyotajwa ni vyuo vyetu hata usiposoma hapa nchini bado huko nnje watakuambia chuo chenu wa TZ pasipo kuweka ushabiki wa kitoto kuwa mimi UDSM chuo kongwe mimi UDOM and so chuo kbwa bora.
 
Tatizo la ma-TA kufundisha nadhani si la UDOM pekee... hata Mzumbe hili ni tatizo... kwakweli inabidi hili swala liangaliwe kwa makini..Vyuo vya wenye kujua nini maana ya ELIMU huu uchafu hawaufanyi... Hata PhD wenyewe km huna uzoefu wa kufanya utafiti vya kutosha , huingii darasani kufundisha (hii ni pamoja na kutunga na kusahihisha mitihani)........

Kwenye red tafadhali! Labda huko kwenye nchi za wenzetu huko ugaibuni au baada ya miaka mingi ijayo kwa nchi kama Tanzania watapatikana walimu wenye sifa ulizozitaja. Lakini sidhani sana manake hata hao waliopo wanakimbilia sehemu yenye maslahi mfano Siasa. Tatizo la Walimu litaendelea kuwepo unless serikali iboreshe maslahi.
 
Wandugu mimi mmeniacha mbali katika hii mada. Naomba kupata kujua mambo haya:-
(1). Uhusiano wa kichwa cha habari na yanayosemwa ndani (2). Maana halisi ya Chuo Kikku ni nini? na ubra wa Chuo Kikuu ni nini? (3). Chuo kipi ambacho hakina uhuni na kutokua na maadili? (5). Nini hasa kifanyike ili UDSM kisianguke?

Tafadhali naombeni msaada maana hivi vyote vinavyotajwa ni vyuo vyetu hata usiposoma hapa nchini bado huko nnje watakuambia chuo chenu wa TZ pasipo kuweka ushabiki wa kitoto kuwa mimi UDSM chuo kongwe mimi UDOM and so chuo kbwa bora.
Ili udsm isianguke inatakiwa VC wake abadilike aache siasa na ubinafsi.Pia udsm waongeze idadi ya wanafunzi wa postgraduate.wawaachie UDOM undergraduate na vyuo vingine.
Utakumbuka alipoingia Mkandala akaondoa watu wote wa Luhanga na kuweka maswahiba wake sasa wamemuangusha.
 
not true nimepata bahati ya kuhitimu udsm mwaka huu ila ukweli uko palepale jambo lilipo ni kua baada ya kugundua kua wasomi na hata vijana walioko udsm wanjiamini na hata walimu wao serikali inatafuta njia ya kuwamaliza ila kusema kweli udsm bado ni chuo ila utawala ndio unakimaliza chuo changu daima lets talk fact udom will reach there but still they have to be sure in mind
 
not true nimepata bahati ya kuhitimu udsm mwaka huu ila ukweli uko palepale jambo lilipo ni kua baada ya kugundua kua wasomi na hata vijana walioko udsm wanjiamini na hata walimu wao serikali inatafuta njia ya kuwamaliza ila kusema kweli udsm bado ni chuo ila utawala ndio unakimaliza chuo changu daima lets talk fact udom will reach there but still they have to be sure in mind

That is "far fetched"
Yaani Serikali badala ya kufurahia Chuo chake kikitoa wasomi wazuri inaanzisha mbinu za "kuwamaliza"?????
Hii nayo kali!
 
Elimu ya Tanzania inashuka siku hadi siku. Nimeshafanyia interview graduate wengi sana toka universties zetu na kweli huwa inatia huruma. the guys are not competent at all.

UDSM - Crap
Tumaini - Total crap if possible kifungiwe
Mzumbe - at least
IFM - mmmmmmm
SUA - Safi
 
ndugu zangu university siko kama secondary.watu hawafundishwi ila wanakua tengenezewa mazingira ya kusoma wenyewe bila kutegemea lecture tuu.kazi ya prof nikuelekeza kwa kufuata mtaala na kufanya issues ambazo student haelewi.tatizo mnataka kufanya vyuo vikuu viwe kama elimu ya awali.
 
Elimu ya Tanzania inashuka siku hadi siku. Nimeshafanyia interview graduate wengi sana toka universties zetu na kweli huwa inatia huruma. the guys are not competent at all.

UDSM - Crap
Tumaini - Total crap if possible kifungiwe
Mzumbe - at least
IFM - mmmmmmm
SUA - Safi

Inavyoonekana unachagua candidate kulingana na chuo alichosoma. Jitahidi uangalie competence ya mtu na sio chuo.
 
Elimu ya Tanzania inashuka siku hadi siku. Nimeshafanyia interview graduate wengi sana toka universties zetu na kweli huwa inatia huruma. the guys are not competent at all.

UDSM - Crap
Tumaini - Total crap if possible kifungiwe
Mzumbe - at least
IFM - mmmmmmm
SUA - Safi

Umesoma SUA nini? Nina wasiwasi utakuwa na Div 3 advance, make Division 1 nzuri zinaishia UDSM, Mzumbe na Muhimbili.
 
elimu ya tanzania inashuka siku hadi siku. Nimeshafanyia interview graduate wengi sana toka universties zetu na kweli huwa inatia huruma. The guys are not competent at all.

Udsm - crap
tumaini - total crap if possible kifungiwe
mzumbe - at least
ifm - mmmmmmm
sua - safi

kozi gani??
 
Back
Top Bottom