Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Idimi,
Ungelitufanyia haki sana Watanzania kwa kutuwekea makala nzima ya huyu Mzee Mangula. Hii makala na uiweke hapa na ruhusa kwa waandishi wa habari, Blogs nk kuichukua na kuiweka nzimanzima kwenye magazeti yao ili muradi waweke credit kwa JF na member Idimi.
Umenifungua macho mambo mengi sana juu ya ujio wa huu uozo uliopo sasa Tanzania.
Kuna haja ya kubadili chama tawala ili tuone wengi wakifungwa. Kama katiba inatoa Imunite kwa Marais, kuna haja ya chama cha upinzani kitakachoshinda basi waziondoe ili kuanzia Mwinyi, Mkapa na wengine wote watakaokuja kumaliza Urais huko mbeleni washtakiwe kwa maswala yoote ambayo hayana uhusiano na maamuzi ya nchi kama Rais. Ufisadi upo nje ya katiba na Rais lazima ajibu.
Ungelitufanyia haki sana Watanzania kwa kutuwekea makala nzima ya huyu Mzee Mangula. Hii makala na uiweke hapa na ruhusa kwa waandishi wa habari, Blogs nk kuichukua na kuiweka nzimanzima kwenye magazeti yao ili muradi waweke credit kwa JF na member Idimi.
Umenifungua macho mambo mengi sana juu ya ujio wa huu uozo uliopo sasa Tanzania.
Kuna haja ya kubadili chama tawala ili tuone wengi wakifungwa. Kama katiba inatoa Imunite kwa Marais, kuna haja ya chama cha upinzani kitakachoshinda basi waziondoe ili kuanzia Mwinyi, Mkapa na wengine wote watakaokuja kumaliza Urais huko mbeleni washtakiwe kwa maswala yoote ambayo hayana uhusiano na maamuzi ya nchi kama Rais. Ufisadi upo nje ya katiba na Rais lazima ajibu.
Mhe Jasusi, uko sahihi kabisa, Mkapa aliachia uenyekiti wa sisiemu kabla ya muda kamili wa kuachia nafasi hiyo haujafika, akamuachia mwenyekiti wa sasa mhe. Kikwete, ambaye aliitumia nafasi hiyo effectively kuwaondoa wale asiowataka. Hope unakumbuka vizuri jinsi wanamtandao walivyovuruga uchaguzi wa mwaka 2007 katika ngazi zote, na vurugu zile hazijaisha, wanamtandao wanajipanga kwa uchaguzi mkuu wa chama mwakani. Wale wasioiva na JK (kutoka makundi ya Sumaye, Mwandosya na Salim) ndo wanataka kumvua uenyekiti, ili asiwe na nguvu katika chama, picha ndo kwanza inaanza. Kiini hasa cha kuvuana magamba ni juhudi za kutaka ku-deal na hao wanaotaka kumpoka hilo rungu. Anayeua kwa upanga hufa kwa upanga pia.