Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,582
Chama kimeshika hatamu, tumerudi kule kwenye party supremacy, Sitta amemuomba PM aliahirishe Bunge kunusuru uspika wake, maana mwisho wake ungeweza kuwa jana. Mbunge angesimama kutoa hoja ya kutokuwa na imani na spika, Spika angelazimika kutoka nje ili ijadiliwe, Makamba angesimama na kusema Rais anawaomba wale wenye mapenzi mema waunge mkono hoja. Spika Sitta would have been Kwishnehi!.