Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 687
Kweli kama ripoti hii ina ukweli wowote basi Tanzania hatuna wapinzani wa kweli, wote wahuni. Nilikuwa nafikiria sana kuisupport CHADEMA (sijawahi kuwa na Chama maishani mwangu) baada ya kuona juhudi binafsi za watu kama Slaa na Zitto, lakini sasa naanza kufikiria mara mbili mbili. CHADEMA ovyo (according to this report), NCCR hawana mwelekeo, CUF hawaeleweki, Mtikila anakula na mafisadi, sasa nani yuko serious kuiondoa serikali ya mafisadi madarakani?! Duh! Hawa wakipewa nchi wataiweza kweli kama makao makuu yao tu ndio ovyo hivyo?! Si ndio tutakuwa tumewapa mafisadi part two, tena weneye njaa kali. KWA KAMA NDIO HIVI HAWA MAFISADI WA CCM WATATULA MPAKA WAVEMBEWE!