Ripoti ya Mwakyembe: Nia, madhumuni, utekelezaji, dharau, kejeli, kutokujali na usahaulifu!

wadau naomba maoni yenu kuhusu jambo hili maana naona mkanganyiko tu ktk hili kilamtu anasema yake.
 
serikali inaendesha kazi kwa mazoea..na viongozi wanajua kuwa kama kuna tatizo cha msingi ni kuunda tume haraka haraka kuzima moto! halafu baada ya tume kuundwa na kutoa mapendekezo hayatekelezwi na hakuna tena anayehoji. Jamani nchi hii inaripoti za kila aina na tume nyingi tu zimeshaundwa kwa masuala mbalimbali..kama kweli mapendekezo ya tume yangekuwa yanafanyiwakazi tungekuwa angalau na hatua 1 mbele. Lakin sasa tume zimekuwa kama mchezo wa kuigiza na taarifa zinafungiwa kabatini kwisha.
 
mpiganaji kama yeye hakutakiwa kupewa wizara, wangemwacha kwenye floor, lakini hata hivyo anajitahidi tukimfananisha na watu wengine...
 
serikali inaendesha kazi kwa mazoea..na viongozi wanajua kuwa kama kuna tatizo cha msingi ni kuunda tume haraka haraka kuzima moto! halafu baada ya tume kuundwa na kutoa mapendekezo hayatekelezwi na hakuna tena anayehoji. Jamani nchi hii inaripoti za kila aina na tume nyingi tu zimeshaundwa kwa masuala mbalimbali..kama kweli mapendekezo ya tume yangekuwa yanafanyiwakazi tungekuwa angalau na hatua 1 mbele. Lakin sasa tume zimekuwa kama mchezo wa kuigiza na taarifa zinafungiwa kabatini kwisha.

Mkuu uundwaji wa tume nao huwa umetawaliwa na ukakasi mtupu na matokeo yake mara nyingi huwa yana ukakasi!
 
serikali inaendesha kazi kwa mazoea..na viongozi wanajua kuwa kama kuna tatizo cha msingi ni kuunda tume haraka haraka kuzima moto! halafu baada ya tume kuundwa na kutoa mapendekezo hayatekelezwi na hakuna tena anayehoji. Jamani nchi hii inaripoti za kila aina na tume nyingi tu zimeshaundwa kwa masuala mbalimbali..kama kweli mapendekezo ya tume yangekuwa yanafanyiwakazi tungekuwa angalau na hatua 1 mbele. Lakin sasa tume zimekuwa kama mchezo wa kuigiza na taarifa zinafungiwa kabatini kwisha.
Tutaunda tume ya kuchunguza kama kama kuna umuhimu wa kuunda tume kama unavyopendekeza, na pia kuangalia kama ni kweli report za tume hizi huwa zinakaliwa....tume tutakayounda ikimaliza kazi tuliyoipa, tutaunda tume ya kuja kusoma report ya tume hii.
Tunakushukuru kwa maoni na maelezo yako, karibu sana katika ujenzi wa taifa
 
ʞontɹact Sniper;2359171 said:
<font size="4">Tutaunda tume ya kuchunguza kama kama kuna umuhimu wa kuunda tume kama unavyopendekeza, na pia kuangalia kama ni kweli report za tume hizi huwa zinakaliwa....tume tutakayounda ikimaliza kazi tuliyoipa, tutaunda tume ya kuja kusoma report ya tume hii.<br />
Tunakushukuru kwa maoni na maelezo yako, karibu sana katika ujenzi wa taifa</font>
<br />
<br />
Tume ya kusoma ripoti ikishasoma tutaunda tume ya kuona kama ripoti ilisomwa vizuri
 
Back
Top Bottom