Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,578
Mkuu Jogi, hatujanunuliwa bali wanaogopa kuingilia uhuru wa mahakama!.Ripoti imekamilika na imekabidhiwa, inakaa ofisini kwa zaidi ya siku tano kabla ya kutangazwa, Pasco tuambie mmeshanunuliwa?