Wadau kipindi cha kuelezea kifo cha mwandishi wa channel ten kinatarajiwa kuonyeshwa mlimani tv j3 kuanzia saa 2.30 usiku usikose,naomba kuwasilisha.
ww ndugu yangu TBC hawawezi kuonyesha kipindi kama hiki hujui yaliyomkuta TIDOMimi sijawahi kusikia kitu kinaitwa mlimani TV hebu waambie hao jamaa zako wakanunue airtime TBC ili tz yote tuone. Hiyo mlimani TV hata Nyololo sidhani kama inaonekana.