Ripoti imesomwa kwa kubainisha kuwa hapakuwa na mauaji wala tuhuma zozote za uchawi bali ni ubinafsi wa watumishi wa chumba cha kuhifadhia maiti pale wanapochukua pesa kwa wafiwa kwa lengo la kwenda kuwazika, lakini sasa wao kurahisisha kazi wanachimba shimo moja na kuwafukia.
vichanga hao hufariki wakati wa kujifungua au kabla au baada tu ya kujifungua.
vichanga hao hufariki wakati wa kujifungua au kabla au baada tu ya kujifungua.