Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,845
- 5,064
.
Bongo mtaji ni laptop na modem tu na wewe unaweza kuwa Bloger na mwandishi wa kujitegemea na ukashinda nyumbani kwa copy & paste tu.
ndicho walichofanya hawa waandishi wetu!!! kha!
.
Bongo mtaji ni laptop na modem tu na wewe unaweza kuwa Bloger na mwandishi wa kujitegemea na ukashinda nyumbani kwa copy & paste tu.
Kwa hiyo unamaanisha CCM ni scientific name siyo..approved by International Nomenclature Board..okay we endelea kupalilia maovu tu..CCM ni taifa kubwa hakuna CCM nyingine duniani ndio maana hakuna haja ya kuweka kirefu chake! hata mtoto alozaliwa leo anajua CCM inastand for what !
kuna hiki kipande tena....hapa chini kwenye red..ndani ya report sioni hao watoto wakitoa huo ushahidi muhimu!!
''Mashahidi walioshuhudia katika kijiji cha Nyololo, wakiwemo watoto
walikuwa vyanzo muhimu''
Usichanganye hii ni riport ya jukwaa la wahariri. Ile ya serikali bado nadhani, haijatolewa.haijachakachuliwa kweli?
Tumejazana tu hapa: There are currently 373 users browsing this thread. (67 members and 306 guests). lakini hakuna kitu kipya!! Bora wangekaa kimya tu kama na wenyewe ni waoga hivi.
"However, investigations by the MCT team could not establish if the killing of Mwangosi was pre-meditated". This statement nullify all of the stories in the Report. Na hii ndio tunasema ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi wa Tanzania
Poti sijakuelewa bado, ina maana uko hapa kusubiri tume ndio zikwambie ni nani alimuuwa Mwangosi? ina maana tangu siku ya kwanza hujui Mwangosi ameuliwa na nani? umenisikitisha sana halafu wewe una access na Internet vipi wale ndugu zako kijijini?Hakika Polisi ndio walio muua Mwangosi
Ripoti imeweka bayana masuala mengi ya msingi.
Ni kazi waliyoifanya kufikia upeo waliofikia hivyo naamini itasaidia kwa sehemu kubwa kuujua ukweli na hata kuchukua hatua zaidi.
Nimeisoma kwa makini, neno kwa neno, hakika CHADEMA ni wa kulaumiwa, kwa sababu katika report hii sehemu kubwa ni ubishi wa CHADEMA ndio ulomuuwa Mwangosi, sijui CHADEMA mtamlipa nini mjane na watoto hawa YATIMA wa mwangosi, Namlaumu Joh Heche kwa yote haya yalotokea, tubu kwa Mola wako na waombee sana watoto wa MWangosi wapate malezi bora au sivyo sijui kizazi chako wewe kitakuwa vipi! NAWAPA POLE SANA FAIMIA YA MWANGOSI ... na MOLA AWAFARIJI WAKATI WOTE NA AWAKUZE WATOTO WENU KATIKA MAADILI MEMA YENYE UCHA MUNGU.
Hiyo ya serikali nayo imetolewa leo, lakini mambo mengi hayajawekwa hadharani na waziri Nchimbi, anajitetea kuwa wakianika yote itaingilia mwenendo wa kesi ya yule askari aliyeshtakiwa kwa mauajiUsichanganye hii ni riport ya jukwaa la wahariri. Ile ya serikali bado nadhani, haijatolewa.