silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Naomba kuuliza Kuna measures zitakazo tolewa ikiwa Hawa wa Ndugu Nchimbi wametumia Pesa za Bure kutoka kwenye kodi za Wananchi na kutuletea Report Pumba?
au ndo kama kawaida Mtu anatengeneza Dawa kwa matumizi ya binadamu bomu wanamuachisha kazi aendelee kula bata mtaani?
au ndo kama kawaida Mtu anatengeneza Dawa kwa matumizi ya binadamu bomu wanamuachisha kazi aendelee kula bata mtaani?