Ripoti ya Kifo cha Mwangosi

Naomba kuuliza Kuna measures zitakazo tolewa ikiwa Hawa wa Ndugu Nchimbi wametumia Pesa za Bure kutoka kwenye kodi za Wananchi na kutuletea Report Pumba?
au ndo kama kawaida Mtu anatengeneza Dawa kwa matumizi ya binadamu bomu wanamuachisha kazi aendelee kula bata mtaani?
 
Kwa Kawaida Research yeyote ni lazima ianzie kwenye Literature Review, From some materials ambazo zilizndika habari za Kifo cha Mwangosi na hata Videos na picha pia zinaweza kukupa Hypothesis ya Tukio zima Kabla ya kuenda Field...
Hao Waheshimiwa Hawajaonesha kuwa walipitia Literature gani so Ipo Batili na Majibu ya Report hiyo ni Aibu kubwa kwa Taifa tena haikupaswa kuwekwa hadharani kama hivi.
Pili inatakiwa kujua wapo waliwahoji wakinanani (kwenye kuchagua Population ni lazima kuchagua Wale wenye Taarifa za kutosha juu ya Tukio,) Lakini hao wajamaa hawakuwahoji wahusika wakuu akiwemo yule Muandishi aliye chukua Picha Live.. Pia waliwahoji wananchi ambao wao walisimuliwa na sikuona (au inawezekana hawakuhoji mtu yeyote.
Sidhani kama na huyo anaye itwa Profesor anauthibitisha uprofesa wake hapa kwa kutumia Report hiyo...

Nchimbi anatakiwa ajipange kwa kuudanganya uma.

Tukisema Tuzifananishe Za Wanahabari na ile Ya Tume ya Nchimbi, Ile ya Nchimbi ni non sence na imepanga kuwa tetea polisi (kwasababu imebainisha kuwa Polisi hawakumuua Mwangosi bali kitu kililipuka wakati wao wamepanda kwenye Gari kuodoka, na yule aliye umia mguu wamesema alivunjika mkono)
Kwanini watumie Uwongo katika mambo ambayo ushahidi upo hata kwenye mitandao?
inamaana wametuona Watanzania ni mambumbumbu kiasi hicho jamani? tunakwenda Wapi
Nasisi Watanzania tumezidi kubebwabebwa kama mizoga tunatakiwa Kuonyesha Reactions zetu

Kila lenye mwanzo halikosi Mwisho
 
Chadema si walisusia kuhojiwa na hiyo kamati kama ya harusi sasa ukweli utajulikanaje

Ni sahihi CHADEMA kususia hiyo Kamati.

Hapo kuna Jeshi la polisi/mambo ya ndani ndio waliohusika na wangejichungazaje? Kujua 'natural justice' haitakiwi LLB.
 
Back
Top Bottom