Ripoti ya Jopo la Wataalam wa UN juu silaha Haramu DRC

MwanaKijiji, hii ni kazi nzuri uliyoifanya. Pia umenikumbusha jambo hapa. Hawa CMC Motors wamekuwa wakihusika na ukwepaji kodi, na wana kamtandao na baadhi ya watu wa TRA wanao wasaidia kukwea kodi. Wahindi hawa wanaomiliki CMC wanapaswa wachunguzwe. CMC Motors ni kamrija kengine ka ufisadi.

Wale ambao hawasomi documents, wanakuwa kama Mh Kingunge Ngombare Mwilu aliyekuwa hasomi minutes za vikao vya muafaka, kisha anakurupuka kuongea na waandishi wa habari kwa kitu asichokielewa!. Kumbuka yule kijana wa CUF alivyoshusha data baada ya propaganda za Kingunge na makamba!! Aibu!. Tujenge tabia ya kusoma kabla ya comments.
 
Hebu kuweni wazalendo kidogo jamani, kama airport na bandari zetu zinatumika na sisi hatujui au kama watu wanahongwa zipite pia mtalaumu serikali??, YES mtalaumu.

tutailaumu kwa kushindwa kutumia mkono wake mrefu kuweza kujua huo mchezo mchafu ambao mwisho huwa mauti kwa jirani zetu.

au mkono mrefu kwa wapinzani tu?

Lakini hiyo haina maana kuwa serikali inahusika.

hi ni kweli directly lakini indirectly imehusika kwani ilikuwa wapi wakati maharamia wanafanya hayo mambo, na ikiwa kuna watu ndani ya serikali wananufaika ni vibaya tukisema serikali imehusika...ni mantiki tu mkuu
 
Mkuu MkamaP heshima mbele.

Mimi ningependa kukuuliza swali moja tu.

Tanzania inahusika kwa kiasi kikubwa katika kuhakikisha amani inakuwepo katika eneo lote la maziwa makuu na inapoonekana kwamba sehemu fulani katika eneo hilo kama kule Burundi tumeona kwamba baadhi ya wakimbizi wamekuwa wakiambiwa warudi hukohuko.

Sasa je unapokuwa ukijishughulisha na hizi jitihada za kuhakikisha amani inakuwepo pia unakuwa unahakikisha kwamba wale waasi wote wanadhibitiwa kwa namna yoyote ile ikiwamo ya kuhakikisha hawana "supply" ya hizi silaha na vifaa vingine.

Sasa je inakuwaje Tanzania inaachia mizigo ya silaha na "hardware" zingine zipitie bandarini kwake au viwanja vya ndege bila kuhoji uhalali wa usafirishaji huo na kama ikigundulika kwamba zote ziko katika "illegal route" kupitia brokers kwanini isichukue hatua?

Ukumbuke kwamba UN wana means zote za kupata hizi "data" ikiwemo "aerial view" kupitia "unmanned spy planes" ambazo wewe huwezi kuziona. Utaniuliza kwamba wanapata wapi hizi means, well wanaweza kuwatumia tuseme waisrael nao wakawafanyia kazi hio, ukumbuke dunia sasa ni kijiji kimoja.
 
Mkuu MkamaP heshima mbele.

Mimi ningependa kukuuliza swali moja tu.

Tanzania inahusika kwa kiasi kikubwa katika kuhakikisha amani inakuwepo katika eneo lote la maziwa makuu na inapoonekana kwamba sehemu fulani katika eneo hilo kama kule Burundi tumeona kwamba baadhi ya wakimbizi wamekuwa wakiambiwa warudi hukohuko.

Sasa je unapokuwa ukijishughulisha na hizi jitihada za kuhakikisha amani inakuwepo pia unakuwa unahakikisha kwamba wale waasi wote wanadhibitiwa kwa namna yoyote ile ikiwamo ya kuhakikisha hawana "supply" ya hizi silaha na vifaa vingine.

Sasa je inakuwaje Tanzania inaachia mizigo ya silaha na "hardware" zingine zipitie bandarini kwake au viwanja vya ndege bila kuhoji uhalali wa usafirishaji huo na kama ikigundulika kwamba zote ziko katika "illegal route" kupitia brokers kwanini isichukue hatua?

Ukumbuke kwamba UN wana means zote za kupata hizi "data" ikiwemo "aerial view" kupitia "unmanned spy planes" ambazo wewe huwezi kuziona. Utaniuliza kwamba wanapata wapi hizi means, well wanaweza kuwatumia tuseme waisrael nao wakawafanyia kazi hio, ukumbuke dunia sasa ni kijiji kimoja.

Mkuu heshima mbele
jibu ni rahisi mno kwa swali lako ni kwamba system yetu iko weak mno kutokana na umasikini wetu ku deal na ma mafia wa kimataifa.
Naomba unote hii
  • si tu inashindwa kuthibiti illegal traffic bali inashindwa pia kuthibiti u wasomali wanaokatiza TZ, kumbuka ODC yule juzijuzi aliowakimbiza wasomali kwa mguu nakuingia sijui zambia ama msumbuji na kukutana na kipigo kikali.Sembuse mafia wa kimataifa.
  • Si hilo tu TZ pamoja na umasikini wetu imeshindwa kuthibiti illlegal traffic za kahawa zinazotoka TZ kwenda Ungada .
  • Kumbuka kama sikosei TZ ni nchi masikini duniani nafikiri ni top ten kwa umasikini ktk nchi zote duniani.
Kwa hiyo report ya UN iko very biased imeshindwa kuelewa mazingira halisi ya TZ kuhusu ku traffic vitu illegal na uwezo wa TZ kuthibiti vitu kama hivyo.

Kwa namna hiyo mie nasema report ya UN ni unproffesional.
 
Watanzania nawaomba msi entatain atoms za namna hii kutoka UN.Wawachonganishe wao kwa masilahi yao ,watengeneze silaha wao na wawauzie wao harafu watusingizie sisi.

sisi kama nchi tuna airport na bandari kwa anjili ya biashara na huduma pia, kwa hiyo mzigo iliyo ya destination ktk nchi zingine sisi interest yetu kubwa ni kufanya biashara na si vinginevyo. Leo hii Uganda ikiagiza silaha na kupitia bandari ya dar es salaam harafu baadae hao Uganda wakaenda wakaivamia Kenya kwa silaha zilizopitia Dar na kusema eti TZ imeparticipate nafikiri ni argument za kipuuzi.

Hao UN watuletee uthibitisho kwamba serikali ya Tanzania ilikuwa ndo inanunua hizo silaha kwa mbadala wa hao waliowasaidia. kusema midege na minofu hio si argument na trafic ya mizigo na kuwa transit ktk nchi moja hadi nyingine hiyo si participation.

MkamaP
Kama nimesoma vizuri, ripoti haisemi Tanzania. Inasema zilipitia Tanzania. Sipingi lolote, yote mawili yanaweza kuwa ni sahihi.

Kwa hali ya wanasiasa tulionao pamoja na tabia ya baadhi ya maafisa wakuu wa jeshi, akiwemo Mboma aliyestaafu na skendo rundo, haya yanwezekana.

Kumbuka pia Bw. Kinana aliwahi kutajwa mara nyingi kuhusika na biashara hii wakati wa Kabila, the Father. Bahati mbaya hakuna hatua zilizochukuliwa zaidi ya kuachwa nje ya cabinet na akaibuka EAC. Huo kwa wengine ulikuwa ni mfano mzuri kuwavuta wanasiasa wengine kuingia ktk biashara kama hiyo.

Miaka miwili au mitatu pia iliyopita tulikuwa na mgogoro na Serikali ya Ubelgiji, tulipotaka kununua mitambo mipya ya kutengeneza risasi. Tukaombwa kuthibitisha matumizi yake kama nchi wakati tunayo mingine. Ubelgiji walitia mashaka kwamba tunawinda nchi zinazopigana kama soko letu.

Mwishowe tukashindwa kununua baada ya wauzaji kutoa sharti kwamba, mitambo itaweka alama maalumu ili risasi zikikutwa nchi nyingine, tushikishwe adabu!

Enzi hizo kumbuka tulikuwa na watawala wenye aibu ya aina fulani. Je kwa hawa wanaoamini wizi ni sehemu yao ya maisha, watakataa biashara hiyo?
 
ni taarifa kubwa, waacha niendelee kuisoma, lakini Membe na wenzake najua wataumbuka,maana hakujipa muda kutafiti, taarifa imefika, nasikia hata Cabinet haijakutana , mara kafyatuka na kuitusi UN....HII NI KITU AMBAYO LAZIMA IWE HANDLED KWA TAADHARI ILI KULINDA HADHI NA HESHIMA YA TANZANIA KAMA TAIFA.
acha niendelee kuisoma.

Hapo ndipo utasikia watu wana audacity ya ku deny denial.
 
MkamaP
Kama nimesoma vizuri, ripoti haisemi Tanzania. Inasema zilipitia Tanzania. Sipingi lolote, yote mawili yanaweza kuwa ni sahihi.

Kwa hali ya wanasiasa tulionao pamoja na tabia ya baadhi ya maafisa wakuu wa jeshi, akiwemo Mboma aliyestaafu na skendo rundo, haya yanwezekana.

Kumbuka pia Bw. Kinana aliwahi kutajwa mara nyingi kuhusika na biashara hii wakati wa Kabila, the Father. Bahati mbaya hakuna hatua zilizochukuliwa zaidi ya kuachwa nje ya cabinet na akaibuka EAC. Huo kwa wengine ulikuwa ni mfano mzuri kuwavuta wanasiasa wengine kuingia ktk biashara kama hiyo.

Miaka miwili au mitatu pia iliyopita tulikuwa na mgogoro na Serikali ya Ubelgiji, tulipotaka kununua mitambo mipya ya kutengeneza risasi. Tukaombwa kuthibitisha matumizi yake kama nchi wakati tunayo mingine. Ubelgiji walitia mashaka kwamba tunawinda nchi zinazopigana kama soko letu.

Mwishowe tukashindwa kununua baada ya wauzaji kutoa sharti kwamba, mitambo itaweka alama maalumu ili risasi zikikutwa nchi nyingine, tushikishwe adabu!

Enzi hizo kumbuka tulikuwa na watawala wenye aibu ya aina fulani. Je kwa hawa wanaoamini wizi ni sehemu yao ya maisha, watakataa biashara hiyo?


Mkuu
Nakupata ,lakini kumbuka hiyo ni ripoti ilioandikwa na wafilisti naomba hilo utambue.
Ni Ripoti nafikiri ukiisoma kwa harakaraka unaweza fikiri ndo hivyo na ndivyo mwaandishi ameandika lakini mauudhuhi ya mwandishi si kumaanisha silaha zilipita bali anajitahidi kutabanaisha kifasihi kuwa ma beberu wa vita hiyo ni TZ.

Ukimsoma kwa makini amejitahidi sana kutaja taja namba za simu na mahusiano ya officials wetu na hao jamaa wa vita. Lengo lake hapa si haba na si jema kabisa.

Na hata hivyo mwandishi kama angekuwa na maana kama unayofikiri wewe angelitia ka ubeti kidogo ka conclusion ka kuonyesha jinsi gani tulivyo wadhaifu kuthibiti vitu hivyo na angeongeza kuwa hizo silaha zilipita Tz kutokana na weakness zetu.

Lakini kwa vile mwandishi malengo yake si hayo amebezi sehemu moja kwa sababu ya malengo yake, hajazungumza kabisa matatizo yanayosababisha badala yake kataja namba za simu .Ripoti gani ya namna hiyo.?
 
Hawa wafilisti ni waajabu sana . Tangu nimeishi hapa sijawahi kuona wakionyesha afrika mwafrika anavaa suti badala yake kila siku naona ma bush men tu.

Ukija kwao wao wanaonyesha vitu vizuri vizuri tu wakati nao ma homeless wapo wengi wanatafuta vyakula kwenye majalala.

Hatukatai umasikini lakini kama malengo yake ni mema mimi binafsi ningependelea wafilisti waonyeshe pande zote ma bushmen na kwingineko.

Hawa mafilisti reporti toward afrika achaneni nazo, nawashauri msizishabikie . Wanaka mtindo wa kumanipulate ka ukweli kidogo na kutia mambo yao ili wafanikishe wanachotafuta.
 
Mkuu heshima mbele
jibu ni rahisi mno kwa swali lako ni kwamba system yetu iko weak mno kutokana na umasikini wetu ku deal na ma mafia wa kimataifa.

Naomba unote hii
  • si tu inashindwa kuthibiti illegal traffic bali inashindwa pia kuthibiti u wasomali wanaokatiza TZ, kumbuka ODC yule juzijuzi aliowakimbiza wasomali kwa mguu nakuingia sijui zambia ama msumbuji na kukutana na kipigo kikali.Sembuse mafia wa kimataifa.
  • Si hilo tu TZ pamoja na umasikini wetu imeshindwa kuthibiti illlegal traffic za kahawa zinazotoka TZ kwenda Ungada .
  • Kumbuka kama sikosei TZ ni nchi masikini duniani nafikiri ni top ten kwa umasikini ktk nchi zote duniani.
Kwa hiyo report ya UN iko very biased imeshindwa kuelewa mazingira halisi ya TZ kuhusu ku traffic vitu illegal na uwezo wa TZ kuthibiti vitu kama hivyo.

Kwa namna hiyo mie nasema report ya UN ni unproffesional.


Naomba usione kama nakuwinda lakini ukweli ni kwamba maoni kama haya lazima uyapitie mara nyingi kabla ya kuyaamini na kuyarusha JF.

Kuna serikali nyingi hata dhaifu zinzoshiriki ktk biashara haramu.

Nortyh Korea inaruhusu uchapishaji wa dola za marekani. Illegally. TZ tunajidai sasa hivi kwamba tuna nguivu kuliko majirani na kwa tabia ya viongozi wetu. Usiwatetee kama Membe pale utakapopewa evidence utaona aibu.
 
Muchunguzi,

Na mimi nilipoanza kusoma nikaona mbona hamna indications zozote za state sponsored insurgency, lakini angalia hizi quotes nilizobold chini.

In the course of numerous interviews held in the DRC, Tanzania and Burundi, the Group was informed that Bande Ndangundi, a Congolese resident of Dar-es-Salaam who has been spending long periods of time in Burundi in 2009, has coordinated the delivery of military equipment to the FDLR. Mr Ndagundi, originally from Sange (Uvira territory) has lived in Dar-es-Salaam for almost 30 years and was once an associate of Laurent Desire Kabila, when the former DRC president lived in Tanzania. According to a Tanzanian based individual close to Mr Ndagundi, the latter maintains close connections to Mai Mai communities that helped launched Laurent Kabila's rebellion, and has been working to form an FDLR, FNL and Mai Mai coalition to destabilize eastern DRC and thereby increase his political relevance. Information gathered from Congolese security agencies and individuals close to Mr Bande's entourage corroborate that Mr Bande's principle objective is to advance his economic interests in eastern DRC and that he was the principal financier of the 9 April 2009 joint FDLR-FNL-Mai Mai attack on Uvira (which is already detailed in paragraph 30 and 34 of this report).

So far so good,

The Group has obtained Mr Ndagundi's Burundian phone records which show he has communicated with Lt Col Nsanzubukire as well as with Fudjo Zabuloni, in early 2009, and subsequently has been in contact several times with Major Mazuru (see paragraph 33 for details on contacts between Fudjo, Mazuru and Col Nakabaka). Additionally he was also repeatedly in contact with two FDLR officers based respectively in Lemera (South Kivu) and Lubero territory (North Kivu), and with a senior FARDC military officer based in the Ruzizi plain, historically a stronghold of the FDLR and the FNL, in South Kivu.

Jamaa wana mpaka phone records? Lete utamu, so far no stench implicating Tanzania, there could be individual in Tanzania smuggling weapons to Congo, but we are a poor country that cannot even secure it's borders, right?

Wrong!

The Group has been informed by several sources, including a source close to Mr Ndagundi that he has close links to the ruling CNDD-FDD party in Burundi as well as senior officials in the Tanzanian government, police and military. These allegations appear to be corroborated by the fact that Mr Ndagundi's phone records show frequent communications between himself and support staff of senior Tanzanian ruling party officials, as well as a senior officer in the Tanzanian military. The Group continues to investigate these individuals. Mr Ndagundi's Burundian Phone records also show 27 communications from April to September 2009 between himself and the number used by Francis Ndoluwa, the Tanzanian ambassador to Burundi, a former general in the Tanzanian military. A source close to Mr Ndagundi informed the Group that he works closely with the ambassador. The Group has obtained original email correspondence written by Mr Ndagundi where he states that he has high-level connections to Tanzanian government officials (Annex 11). In one email dated 17 July 2009 he writes that he is able to introduce his interlocutor to "high ranking" Tanzanian officials. In another email on the 24 July 2009 he tells his interlocutor that he can introduce him to "the Tanzanian authorities". In a further email, on 29 July 2009, he writes to his interlocutor that he had contacted the Tanzanian authorities, adding that he has lived in Tanzania for 27 years, which gave him the "opportunity to interact with them when we were all young in the same town – Dar es Salaam". He also adds that "we know each other very well and they know my stance in this Situation".

Huh?

Hizi ndizo allegations ambazo Membe anasema zinatoka kwa unnamed individuals?

Kwa nini hakuja na a blow by blow za denial inayosema huyu Ndagundi ni nani, ana uhusiano gani na serikali ya Tanzania mpaka kujitapa hivi na hawa high ranking officials wa Tanzania (ambao apparently panel inawajua ila haijataka kuwataja kwa sababu uchunguzi unaendelea) ni kina nani?

Zaidi ya hapo, Membe mbona hajasema balozi wetu huko Burundi ana deal gani na gaidi huyu?
 
Hawa wafilisti ni waajabu sana . Tangu nimeishi hapa sijawahi kuona wakionyesha afrika mwafrika anavaa suti badala yake kila siku naona ma bush men tu.

Ukija kwao wao wanaonyesha vitu vizuri vizuri tu wakati nao ma homeless wapo wengi wanatafuta vyakula kwenye majalala.

Hatukatai umasikini lakini kama malengo yake ni mema mimi binafsi ningependelea wafilisti waonyeshe pande zote ma bushmen na kwingineko.

Hawa mafilisti reporti toward afrika achaneni nazo, nawashauri msizishabikie . Wanaka mtindo wa kumanipulate ka ukweli kidogo na kutia mambo yao ili wafanikishe wanachotafuta.
Ni wasiwasi na methodology waliyotumia ku-gather information ni totally biased kuja na conclusion ambayo ni valid..hii report ni uhuni na serikali inatakiwa iwa-puuze
 
Tatizo hapa siyo unprofessional report. Ni unprefessional arguments za wengi wetu. Hakuna report inapotoa tuhuma bila kuzi-back up. Pale inaposhindwa inakuwa clear kabisa kwamba bado inafuatilia. Sasa huo uongo uko wapi?

Mfano: Partly, hii Report Rwanda wataisupport, Ingawa Membe alikuwa ballistic.. Nimeona kifungu ambacho kimeindicate kwamba kuna NGO moja Spain imekuwa supported na watu ambao interests yao ni kuwashtaki Kagame na wenzake kuhusu Genocide. And this is what Kagame has always been saying..kwamba charges nyingi especially huko Europe dhidi yake na members wenzake..zimekuwa politically motivated na wabaya wake. Its in the report for all to see now.

USHAURI WANGU: Watanzania na waafrika tujifunze kusoma na kujenga hoja. Hapo ndo wazungu wanatupiga bao kila siku. Tunapenda kutoa sweeping statements sana. Na tunakimbilia kuplay a "victim card".

Personally, I admire Membe, lakini nadhani kwanza angekaa chini akaidigest hii report na kuangalia kipi ajibu na kipi akiache kwanza. Hawezi tumia historia ya Tanzania kujustify arguments zake. C`n Membe you can surely do better! Harafu IPPMEDIA bila aibu wanaandika editorial ya kumsupport Membe! Yes, It might be a sign of patriotism..but before you come forward get your facts correctly. Kitu ambacho IPP MEDIA HAWAKUFANYA. I DOUBT HATA KAMA REPORT WALIISOMA KABLA YA KUWALAUMU HAO EXPERTS WA UN WALIOANDAA HIYO REPORT.

Jamani, as a country we have also international obligation na mojawapo ni kuhakikisha kwamba hatusupport mambo yanayohatarisha usalama wa raia nchi nyingine. This is a principle which has existed time immemorial katika mahusiano ya kimataifa... Huwezi sema eti nchi yetu inachoangalia ni biashara tuu..thats a very weak and morally repugnant argument. Itakuwaje Kenya wakisema hivyo..incase wakiamua kussuport insurgencies in one of the places in Tanzania? Neither is the argument kwamba we are poor thus unable to monitor our boarders..make the cut.

Kuona kwamba mpaka Balozi wetu Burundi anahusika kwenye hii syndicate ni kitu cha kuogopa na kushtusha sana. Hivi watu mnaelewa hadhi ya balozi ni nini? Ndo maana ana immunity. Popote anapokuwa....anawakilisha taifa letu.....Ndo maana balozi akiwa anahutubia popote alipo utamsikia akitumia maneno kama "my government" "my delegation" nk....anatumia maneno ambayo ni Rais pekee anaweza kuyatumia! This tells you kwamba balozi wetu amekiuka misingi ya hadhi yake.

I should say that..this report might be biased (a kool aid I dont buy), Lakini watu inabidi tuisome..tuache uvivu wa kusoma..intellectual lazyness!

Last time..Mwanakijiji alikuja na report ya Meremeta..apologetics..mlimshambulia kwamba ana nia mbaya na serikali...kwamba aliyoyaanidka kuhusu silaha haramu....hayapo....well..now..this time around its somebody else..perhaps..people will work up..au watasema ni conspiracy theories tena? The jury is out.

Masanja,
 
Unless we take trouble of reading books and other articles,we doom to fail.All the things are in books
 
Na hata hivyo mwandishi kama angekuwa na maana kama unayofikiri wewe angelitia ka ubeti kidogo ka conclusion ka kuonyesha jinsi gani tulivyo wadhaifu kuthibiti vitu hivyo na angeongeza kuwa hizo silaha zilipita Tz kutokana na weakness zetu.

MkamaP,

Weakness unayoiongelea siyo excuse ya kuichomoa Tanzania kwenye hii kashfa. Na kama serikali itatumia excuse hiyo, basi itakuwa ni aibu kubwa sana.

Silaha zinazoongelewa ni za vita, hazisafirishwi kwa njia za panya, zinapita kwenye containers tena kwa kufuata official route (bandari, viwanja vya ndege, barabara na reli). Hivi silaha container zima litue pale bandarini Dar na lisafiri mpaka DRC bila kugundulika kwamba ni silaha? Usalama wa Taifa wako wapi?

Kama hayo yanaweza kufanyika, basi iko siku kuna watu hapa nchini wataingiza silaha na kuanza ku-train wapiganaji kwa ajili ya kupindua nchi, maana inaonyesha kwamba mtu anaweza kuagiza silaha na zikaingia bila serikali kujua nini kinaendelea.

Ningekubaliana na wewe iwapo hizo silaha zingekuwa ni moja moja na zinapitishwa kwenye magunia, lakini siyo kwenye containers.

In Africa, Tanzania ilikuwa inasifika sana kwenye swala zima la Usalama wa Taifa, lakini tangu wakubwa wa huko wameingiza biashara kwenye kazi, UwT imepoteza sifa na wamebaki ni watazamaji tu na ndio hao hao wadogo ambao wana uchungu na nchi hii wamekuwa wakivujisha siri ili angalau wananchi waelewe ni nini kinaendelea.

Bado hujani-convince kwamba system yetu iko weak kiasi hicho, ila sema imepofushwa macho na tamaa ya wakubwa wa system ambao wanataka utajiri wa haraka haraka.

Hili ni bomu ambalo tunatembea nalo, iko siku litakuja kutulipukia sisi wenyewe and it will be too late to argue that we have a weak system which can not detect dubious deals ambazo zinapitishwa nchini mwetu.

Usilinganishe illegal business ya silaha za kivita na other illegal businesses kama za madawa ya kulevya ama kutorosha kahawa/karafuu. Hapo utakuwa unafanya comparison ya vitu ambavyo havina uhusiano kabisa. Hizo biashara nyingine zinaweza kutumia route za panya lakini siyo silaha za kivita.
 
Masanja,

Kwa kujua issue ya usomaji (mwenyewe bado naisoma, its 58 pages goddamit) nimeweka excerpts hapa (earlier post) zinazotoa tuhuma za moja kwa moja dhidi ya viongozi wa juu wa serikali ya Tanzania, akiwamo balozi.

Na nime raise the same issues kama wewe roughly around the same time, najiuliza hivi huyu Membe alisoma hii ripoti kabla ya kujibu?

Maana hata baba ukiambiwa "watoto wako wezi" hata kama si wewe uliyewaagiza kuiba, utataka kukaa nao ku verify allegations, maana watoto wengi na mambo mengi.

Sasa yeye kaja na kauli sweeping tu, eti serikali yetu wasafi, wakati watu pengine hata phone convo transcripts wanazo huko wanawafanyia staha tu.

Membe si mtu wa caliber ya Waziri MOFA, bora hata Kikwete alijijua mtupu akakaa kimya na kuacha vijana wamfanyie kazi, hakuiingiza nchi katika brouhaha na watu wanaojua wanachozungumza.

Sasa hata kama haya mambo yalikuwa yanaendelea behiond the governments back (one can argue that, given how fragmented our government is, I doubt it thought) kelele hizi za Membe ndiyo officially zinaonyesha kwamba kumbe hii kitu ilikuwa state sponsored.
 
Mkuu heshima mbele
jibu ni rahisi mno kwa swali lako ni kwamba system yetu iko weak mno kutokana na umasikini wetu ku deal na ma mafia wa kimataifa.


Naomba unote hii
  • si tu inashindwa kuthibiti illegal traffic bali inashindwa pia kuthibiti u wasomali wanaokatiza TZ, kumbuka ODC yule juzijuzi aliowakimbiza wasomali kwa mguu nakuingia sijui zambia ama msumbuji na kukutana na kipigo kikali.Sembuse mafia wa kimataifa.
  • Si hilo tu TZ pamoja na umasikini wetu imeshindwa kuthibiti illlegal traffic za kahawa zinazotoka TZ kwenda Ungada .
  • Kumbuka kama sikosei TZ ni nchi masikini duniani nafikiri ni top ten kwa umasikini ktk nchi zote duniani.
.

Ndugu unakosea unaposema kuwa system iko weak, wakati wanaotajwa kwenye riport ni sinior officials wa serikali, chama na majeshi. System ipi hiyo iliyo weak. Labda ungesema kuwa waliotakiwa kusimamia ndio wenye mradi. Siku hizi Tanzania imekuwa ni kila mtu kula urefu wa kamba yake!
 
Rais JK atakuwa wapi na muda wa kufahamu mambo kama haya wakati yeye anabembea ughaibuni? Labda taarifa aliyonayo ni kuwa biashara ilifanyika wakati wa mapanki.
 
Masanja,

Kwa kujua issue ya usomaji (mwenyewe bado naisoma, its 58 pages goddamit) nimeweka excerpts hapa (earlier post) zinazotoa tuhuma za moja kwa moja dhidi ya viongozi wa juu wa serikali ya Tanzania, akiwamo balozi.

Na nime raise the same issues kama wewe roughly around the same time, najiuliza hivi huyu Membe alisoma hii ripoti kabla ya kujibu?

Maana hata baba ukiambiwa "watoto wako wezi" hata kama si wewe uliyewaagiza kuiba, utataka kukaa nao ku verify allegations, maana watoto wengi na mambo mengi.

Sasa yeye kaja na kauli sweeping tu, eti serikali yetu wasafi, wakati watu pengine hata phone convo transcripts wanazo huko wanawafanyia staha tu.

Membe si mtu wa caliber ya Waziri MOFA, bora hata Kikwete alijijua mtupu akakaa kimya na kuacha vijana wamfanyie kazi, hakuiingiza nchi katika brouhaha na watu wanaojua wanachozungumza.

Sasa hata kama haya mambo yalikuwa yanaendelea behiond the governments back (one can argue that, given how fragmented our government is, I doubt it thought) kelele hizi za Membe ndiyo officially zinaonyesha kwamba kumbe hii kitu ilikuwa state sponsored.


Mkuu hapo nilipo bold ndo swala ambalo wengi wetu hatulijui..sijui kwa maksudi au vipi. I can tell you hawa jamaa walioandika report..wanaweza kuwa na details kuliko walizoziweka hapa. Hata conversation za simu wanaweza kuwa nazo. After all si wana control kila kitu wao (atleast wana access). Kesho sijui wakiweka mazungumzo ya simu..sijui watu watajificha wapi...Jamani wenzetu wako ontop of their game. Wanaongea kwa vitendo.

Kwa mtu yeyote makini..akisoma hiyo report atagundua kwamba people did their homework. MAANA WALIVYO CONNECT DOTS..Its extremely impressive. Ila huwezi kugundua hili unless..umesoma hii report beneath the lines!

Tuendelee na mjadala
 
Ni wasiwasi na methodology waliyotumia ku-gather information ni totally biased kuja na conclusion ambayo ni valid..hii report ni uhuni na serikali inatakiwa iwa-puuze

Mkuu Tumaini,
Maneno kama hayo yalikuwa ya enzi ya Ujamaa. Siku ambazo kila kitu tulikuwa wasafi na yeyote anayesema mabaya yetu tulisema ni adui wa maendeleo yetu. NOT TODAY.

Nimesema na nazidi kusema. Tusitee mambo ambayo yanaweza kuwa na details za kututia aibu.

Membe ni haki yake kuwa vile maana siku zote hayuko makini. Ulimsikia wakati wa Film ya Darwin's nightmare? Hubert Sauper alishitakiwa? mambo ya siraha mbona aliyataja?

Ulijiuliza Kabila alitoa wapi siraha za kumuondoa Mobutu? We are dirty
 
Back
Top Bottom