Ripoti ya Jopo la Wataalam wa UN juu silaha Haramu DRC

Kuna Politicians wa kwenye magazeti na pia hiyo nayo ni safi tu mkuu wangu maana jaribu kuona hata kusoma trend ya magazeti yetu ya kila siku ndio utaweza kujua nasema nini
 
Nimekusoma mkuu, watanzania ni mabingwa wa kubwabwaja lakini kazi nehi che!!! eniwei, kila taifa na sifa zake

tumepewa kila kitu lakini ni mabingwa wa kutafuta nothing

sisi ndio watanania na mnyika ndio taswira yetu
 
Frankly speaking;mlio karibu na Kijana John Mnyika mumuambie yeye ndiye anakurupuka kwa kutoa maazimio"kila siku"

Akumbuke kuwa Ubunge wa Ubungo bado miezi 10 tu ufanyike na Mama Mwangunga yeye kaanza kampeni kitambo sana lkn Mnyika kakazana tu na issue zisizo na maslahi kwa wana Ubungo!

Mnyika mambo haya ya silaha kuingizwa Congo kwa msaada wa TZ ni mazito lkn je yana maslahi kwa wana Ubungo kuliko kuwaambia sera zako ili wajikwamue kwenye shida za kijamii zinazowakumba?Wana Ubungo wana matatizo yao sugu ya maji,matibabu,njaa,elimu miundombinu na menginenyo.Yavalie kwanza njuga haya matatizo ya kijamii ya wana ubungo then sasa ukiyamaliza uje kwenye issue za kimataifa kama hizi za UN na silaha za Congo!

Wazungu walisema "charity starts home"sasa wewe wala hujakaa chini kuwaeleza na kuwashawishi wana Ubungo nini utafanya kutatua matatizo yao ya kijamii ukipata ubunge ila umekazania tuu mambo ya Congo!

Amini nawaambia wana JF kwa wazi kabisa naliona ANGUKO LA MNYIKA KWA Mama Mwangunga KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA UBUNGE-UBUNGO miezi 10 toka sasa!
 
Frankly speaking;mlio karibu na Kijana John Mnyika mumuambie yeye ndiye anakurupuka kwa kutoa maazimio"kila siku"

Akumbuke kuwa Ubunge wa Ubungo bado miezi 10 tu ufanyike na Mama Mwangunga yeye kaanza kampeni kitambo sana lkn Mnyika kakazana tu na issue zisizo na maslahi kwa wana Ubungo!

Mnyika mambo haya ya silaha kuingizwa Congo kwa msaada wa TZ ni mazito lkn je yana maslahi kwa wana Ubungo kuliko kuwaambia sera zako ili wajikwamue kwenye shida za kijamii zinazowakumba?Wana Ubungo wana matatizo yao sugu ya maji,matibabu,njaa,elimu miundombinu na menginenyo.Yavalie kwanza njuga haya matatizo ya kijamii ya wana ubungo then sasa ukiyamaliza uje kwenye issue za kimataifa kama hizi za UN na silaha za Congo!

Wazungu walisema "charity starts home"sasa wewe wala hujakaa chini kuwaeleza na kuwashawishi wana Ubungo nini utafanya kutatua matatizo yao ya kijamii ukipata ubunge ila umekazania tuu mambo ya Congo!

Amini nawaambia wana JF kwa wazi kabisa naliona ANGUKO LA MNYIKA KWA Mama Mwangunga KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA UBUNGE-UBUNGO miezi 10 toka sasa!

ha ha ha ha

ata anguka je wakati atapewa ukurungenzi wa mambo ya nje? Hivi ukurugenzi wa mambo ya nje wa chadema unamaana gani naomba kuelimishwa?

Je? ni mambo ya kimataifa ama mambo yanayohusu nje ya chama.?
 
Frankly speaking;mlio karibu na Kijana John Mnyika mumuambie yeye ndiye anakurupuka kwa kutoa maazimio"kila siku"

Akumbuke kuwa Ubunge wa Ubungo bado miezi 10 tu ufanyike na Mama Mwangunga yeye kaanza kampeni kitambo sana lkn Mnyika kakazana tu na issue zisizo na maslahi kwa wana Ubungo!

Mnyika mambo haya ya silaha kuingizwa Congo kwa msaada wa TZ ni mazito lkn je yana maslahi kwa wana Ubungo kuliko kuwaambia sera zako ili wajikwamue kwenye shida za kijamii zinazowakumba?Wana Ubungo wana matatizo yao sugu ya maji,matibabu,njaa,elimu miundombinu na menginenyo.Yavalie kwanza njuga haya matatizo ya kijamii ya wana ubungo then sasa ukiyamaliza uje kwenye issue za kimataifa kama hizi za UN na silaha za Congo!

Wazungu walisema "charity starts home"sasa wewe wala hujakaa chini kuwaeleza na kuwashawishi wana Ubungo nini utafanya kutatua matatizo yao ya kijamii ukipata ubunge ila umekazania tuu mambo ya Congo!

Amini nawaambia wana JF kwa wazi kabisa naliona ANGUKO LA MNYIKA KWA Mama Mwangunga KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA UBUNGE-UBUNGO miezi 10 toka sasa!
Hilo hapo juu itakuwa shida sana kwake kulisoma! Kwa upande mwingine umejaribu sana kutoa tongo tongo kwake.
 
ha ha ha ha

ata anguka je wakati atapewa ukurungenzi wa mambo ya nje? Hivi ukurugenzi wa mambo ya nje wa chadema unamaana gani naomba kuelimishwa?

Je? ni mambo ya kimataifa ama mambo yanayohusu nje ya chama.?
Mujita,
Suala la silaha Congo ni suala la kimataifa. Kwa hiyo Mnyika yuko pahala pake.
 
upo sahihi kabisa mwana JF mwenzangu Jasusi,kwa nyadhifa yake ndani ya CHADEMA;kijana Mnyika anastahili kulisema hili suala la UN dhidi ya silaha za waasi wa Congo,lkn wasiwasi wangu iweje kila siku awe anarudia kulisema suala hilo hilo kwa vyombo vya habari!huenda hana jambo jipya la kutuambia,na punde waTZ wataanza kumchoka na kumuona kama ni mwana siasa wa hovyo-hovyo!

Pili,Mnyika lzm acheze na muda,kwani uchaguzi wa Ubunge umekaribia sana,si zaidi ya miezi 10 toka sasa;Mama Mwangunga kaanza kampeni huko kitambo lkn yeye badala sasa kujikita zaidi na kampeni za chini chini za Ubunge kakazania na sera hizi za kimataifa za uingizaji silaha haramu Congo!

Ubungo wana matatizo sana yasiyosemeka,ni wakati wake sasa Mnyika kupita huko na huko jimboni na kuanza kuwaeleza atafanya nini akipata ubunge kuwapatia huduma za jamii zilizodorora!

Jitetea kwanza kwa wana Ubungo kuhusu ni kwa nini wakuchague ili uwape huduma za jamii then uzungumzie hili la Kimataifa lisilo na maslahi ya moja kwa moja kwa wana Ubungo!

Ukikazania mambo haya ya Silaha za Congo bila kuwashawishi wana Ubungo kuhusu sera zako na upatikanaji wa hudua za jamii kwa wananichi unaowaomba kura tena ikiwa bado tu miezi chini ya 10 ufanyike uchaguzi wa Ubunge-Ubongo utegemee anguko baya kwenye sanduku la kura.
 
Anaweza kusema au kutoa msimamo wake ukawa kama ndio msimamo wa CHama chake hivyo sio ajabu sana, Mbona Jk anatoka tamko CCM linakuwa ndio sera katika Taifa lote, Hivyo katika siasa kuna inputs zake na output zake pia, Mimi nakubaliana kabisa na Mnyika juu ya mambo haya, jaribu kusoma ile taarifa ya mzee mwanakijiji ndio utona kwanini Mnyika anasema hivi

Haya umesema JK akisema kitu ndiyo inakua sera ya chama kwa hiyo na Mnyika anacho sema una tuambia kuwa ndiyo sera ya Chadema kwa sasa??? Na hayo anayo semaga JK unayo sema yana kua sera ni maoni yake binafsi au msimamo wa chama? Be serious kidogo. Fikiri kabla ya kuandika.
 
Kuna Politicians wa kwenye magazeti na pia hiyo nayo ni safi tu mkuu wangu maana jaribu kuona hata kusoma trend ya magazeti yetu ya kila siku ndio utaweza kujua nasema nini

Damn I have serious doubts about you. Hii una kielewa hata ulicho kiandika mwenyewe?
 
Back
Top Bottom