TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
- Thread starter
- #21
Bahati mbaya..,ndio nasema ni bahati mbaya sana kwa mahali kama JF, sehemu pekee katika social media ambapo watu wengi tunaoamini wanauelewa na ufahamu wa kutathmini na kufikiri kwa upana na umaridadi.,wanapokuwepo watu ambao akili zao na uwezo wao wa kufikiri hauzidi hata ule wa kidole cha "majivuno wa kusadikika"