CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
haya,vituko haviish. ndani ya basi kapanda jamaa anapromote dawa ya meno ya alovera. . . anaongea huyo, cha kushangaza hadi sasa hajapata mnunuz
me nina kirago kimoja tu na nimekipakata hapa mapajani!
Me nipo hom, hubby na mafundi wanasafisha taa, wakati wanasafisha yale maua ya taa 2 zimevunjika, yani nimeckia ayaaaa, 2ngevunja cc wengine 2cngelala humu ndani.
nipo njian kuelekea msiban,kuna abiria kateremka njian kumbe kabeba na ki-parcel cha abiria mwenzie.bahat nzur yule mwenye ki-parcel kamwona ikabidi amfate. sa cjui alichukua makusud ama alikifananisha na cha kwake. me na wewe hatujui!
Umefika wapi Charmy
mmm! Hapo kwenye red natamani mimi ningekua kirago chako.
vip lakini umefika salama bibie?
nshafika kitambo sana, tupo twajifariji na wimbo wa kwetu pazuri!
shem nyumbani kwako kwa mtogore hizo taa umeziweka vp uswaz hivyo
tatizo sis ni ndugu thats why tunamchanganya gfsonwin!!!!!!mimi hapa dada yangu gfsonwin kanifananisha na princess enny..nimemaindi acha tu
Bishanga ndo naingia buibui gest haus na...........
tatizo sis ni ndugu thats why tunamchanganya gfsonwin!!!!!!