Echolima
JF-Expert Member
- Oct 28, 2007
- 3,826
- 2,057
Taarifa ya habari itv naikubali sana kwa sababu wanajitahidi kutupatia taarifa kila kona ya nchi na kwa ufafanuzi mzuri kuliko vituo vingine hapa nchini.
Ila kuna ripota, sam mahela ananiboa sana anaporipoti... Mfano leo alikuwa anaripoti bomoa bomoa ya KIVULE MAGOLE kwa mbwembwe ni kama anafanya dhihaka kwa wahanga.
Sam angalia sehemu za kufanya mbwembwe bana......
Hamia TBC usitusumbue huku