Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Leo nimemkumbuka sana Braza Ukiwaona Ditopile Mwinshehe wa Mzuzuri....laiti angekuwepo wakati huu wa kampeni...tungepata burdani sana....sio hizi kamba na vinana
Huyu akili yake na Kikwete zilikuwa sawa tu.Leo nimemkumbuka sana Braza Ukiwaona Ditopile Mwinshehe wa Mzuzuri....laiti angekuwepo wakati huu wa kampeni...tungepata burdani sana....sio hizi kamba na vinana
Muacheni apumzike kwa amani!!
Kama Shimbo naye ni mjeshi....Captain mpaka umauti umemkuta