BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 956
Pole sana mkaka, bwana ametoa na bwana ametwaa,jina lake lihimidiwe
Habari zenu wakuu!
Siku kama ya leo mnamo mwaka 2010 nilipoteza baba yangu mzazi ambaye aligongwa na pikipiki na kufariki.
Nakuombea kwa mungu babangu mpendwa..
ndetichia