mkuu pole sana!nikutanie kidogo!mshua alikuwa shabiki wa timu gani uingereza na bongo?maana naona wewe unashabikia timu mpya tu,city na azam
alikuwa anashabikia simba na liverpool ndio maana mimi nikaamua kushabikia timu za miaka yangu..
asante sana..
alikuwa anashabikia simba na liverpool ndio maana mimi nikaamua kushabikia timu za miaka yangu..
asante sana..
What a coincidence!
ODM ni mnazi mbwa wa Liverpool na Simba Sports. Tumempoteza mtu mwenye inteligent sana. Kuzishabikia timu hizo mbili ni lazima uwe na akili kama za kina Newton.
RIP mwekundu mwenzangu. Hatutakuangusha!