RIP-Abel Mifoto(Maroon Commandos-KENYA ARMY

kayundi2

JF-Expert Member
Feb 2, 2009
210
21
[video=youtube_share;B4fHUxo21nk]http://youtu.be/B4fHUxo21nk[/video]

Its sad we lost Abel kifoto yesterday.Kenya Army Maroon commandos-3rd infantry will miss him dearly
 
Nafurahi issue za Kenya zinapopostiwa hapa na .....seemingly, Wakenya wenyewe. Hii yaonesha JF inakubalika. Tofauti na wale wenye fihi, chuki, husuda, wivu (ambavyo vyaonesha wao wenyewe hawajiamini na kwa kweli wanajiona wadogo na wa kudharaulika... ) mimi nakaribisha uhusiano na Wakenya na tushindane nao katika walio sawa. Ni kwa kufanya hivyo tu ndipo Mitanzania itakapoamka na kuchapa kazi. Acheni wivu, Watanzania kweli ni wavivu wa kufanya kazi na wavivu wa fikra. Wenzenu wamefanya mapinduzi, wanaendeleza NJI yao nyie mmekaa Wakenya banaa, Wakenya banaaa...
Nani anayekukataza kufungua biashara Kenya?
Lakini................eh, kweli hawa wataweza kupigana...jinsi wanavyokatika viuno hivi?
 
Back
Top Bottom