MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Hhahahahahahaaaaaaaaaaa nyamayao si unajua tena.....mpaka nije nizoee loh lazima iko siku ntamcharua hahahah ila ananielewa atachukulia ni uchokozi tu wa kawaida hahaha I wish!!hahahahha....kweli binadamu haridhiki, umetoka kwenye micharuko umepata mpole bado unataka kumcharua, umemiss micharuko? hebu tulia huko ule raha za dunia hizi zilizobakia......
Wapole wakipata watu waelewa kama wewe wanapata raha sana na wewe pia maana wewe unafanya yanayotakiwa kama mke then unafaidi maisha kwa upole wake, thou upole ukizidi saaaana inakela maana anakuwa kama mwoga tena, ila hawa watu wakicharuka utajuta, we ngoja huyu afanye haya maushauri ya the boss, huyu mke atasimulia hadi wajukuu zake
Lol Gaga we mwache bi shost ajidanganye na huyo mwalimu wake mbona atajajuta siku bwana Roj nani sijui ataposhika hatamu!? Natamani aishike leo hah