Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Any similarities? Any Differences?
Gaddafi katawala miaka 42, na JK miaka ya 5, wapi na wapi? Huu ndiyo ujinga wa kufikiri (Critical Thinking). Watoto wa Nyerere wapo karibu zaidi na hao Watoto Gaddafi kuliko watoto wa JK.
sijakuelewa John, longevity ya utawala wa baba zao mbona sioni kama ina uhusiano wowote na swali na muwasilisha hoja?
Nilikuwa napita tu,Utofauti ni ulibya na Utanzania but Tabia the same.
.......Nonesense argument.
Ukipenda chongo unaita makengeza. Ridhwani kapata wapi utajiri wake hadi leo anaitwa young billionaire? Ni ufisadi tu kuanzia baba hadi mtoto. Na nipe mfano kiduchu tu cha ufisadi wa watoto wa Nyerere enzi za baba yao.System aliyokuwa nayo Gaddafi ni sawa na system aliyokuwa nayo Nyerere. No Demokrasia. JK na watoto wake wapo ktk utawala wa kidemokrasia. Watoto wa Nyerere walikuwa na sauti, ufisadi zaidi wakati baba yao alipokuwa rais, kwa sababu hakuna aliyeweza kuquestion them. Sasa hivi watoto wa JK hawana hiyo privilege. Sasa utakompare vipi watoto wa JK na Gaddafi? Nonesense argument.
System aliyokuwa nayo Gaddafi ni sawa na system aliyokuwa nayo Nyerere. No Demokrasia. JK na watoto wake wapo ktk utawala wa kidemokrasia. Watoto wa Nyerere walikuwa na sauti, ufisadi zaidi wakati baba yao alipokuwa rais, kwa sababu hakuna aliyeweza kuquestion them. Sasa hivi watoto wa JK hawana hiyo privilege. Sasa utakompare vipi watoto wa JK na Gaddafi? Nonesense argument.
Any similarities? Any Differences?
Ukipenda chongo unaita makengeza. Ridhwani kapata wapi utajiri wake hadi leo anaitwa young billionaire? Ni ufisadi tu kuanzia baba hadi mtoto. Na nipe mfano kiduchu tu cha ufisadi wa watoto wa Nyerere enzi za baba yao.
Utajiri wa Ridhiwani ni wa baba yake. Baba yake alikuwa anafanya kazi kwa muda mwingi. Sasa kuna ubaya gani kutumia hela za baba yako?
Baba yake alikuwa anafanya kazi gani kwa muda mwingi? Mishahara ya serikali inajulikana. Na ufisadi wa Kikwete unajulikana kuanzia IPTL na kuuza mikataba feki ya madini yetu. Hapo ndipo utajiri wake ulipotokea. Ni kweli amefanya kazi kwa muda mwingi.Utajiri wa Ridhiwani ni wa baba yake. Baba yake alikuwa anafanya kazi kwa muda mwingi. Sasa kuna ubaya gani kutumia hela za baba yako?
Baba yake alikuwa anafanya kazi gani kwa muda mwingi? Mishahara ya serikali inajulikana. Na ufisadi wa Kikwete unajulikana kuanzia IPTL na kuuza mikataba feki ya madini yetu. Hapo ndipo utajiri wake ulipotokea. Ni kweli amefanya kazi kwa muda mwingi.
Unaishi duinia gani wewe?
Haya ndo yale mambo tuliyoyakataa huko nyumba. This is a silly question na kulinganisha visivyolinganishika kama vile kuuliza farasi na panya nani ana mbio zaidi. Wewe (uliyeanzisha thread hii) kama umekosa la kuandika siyo lazima uingie humu JF. Hivi hamuwezi kuwa na kitu chochote constructive ili watu wachangie kwa haki? Hivi mnadhani huyo Dr. Slaa hana au hatakuwa na watoto. Kama watu mna tatizo na utawala huu ni vizuri mkaweka mipaka na kuacha kuiingilia first family pasipo na sababu.
Hakuna chochote ambacho JK amekifanya kwa mwanae ambacho kinakiuka dhamana yake au maslahi ya umma. Sasa kwa nini tusiipe amani familia yake badala ya kumwaga matusi kila wakati tena pasipo na sababu? Mimi nafikiri wenye sababu za kuukosoa uongozi na hata rais wafanye hivyo kama watu wenye akili timamu na siyo kuleta uendawazimu wa kuanza kuleta mashindano ya nani zaidi na kupambanisha mchana na usiku! Hivi hii JF mbona imeingiliwa hivi?
Kama anatumia hela za baba yake kwa ujiko; then nahisi hela si attribute ya Ridhwan au?