:eek2::eek2::eek2::eek2::wacko::wacko::wacko::wacko:
Huku ni kutusi watu. Ina maana waendao hijja wote hurudi na maghorofa? Huyu Ridhiwani kwani ni Alhaji?
sio 200 ni 2000 umekosea kidogoKule kwa BHACHU Mombasa ameweka oda ya tankre trailers 200 na kusimamisha oda za wengine
Source: Welcome to Bhachu Industries Ltd
sio 200 ni 2000 umekosea kidogo
na bado.... kuna kitu imetulia pale Raskazoni Tanga, adjacent na beach inaitwa TANGA BEACH RESORT... taasisi nyingi za serikali zinaenda kufanyia mikutano pale
Wewe unataka watu walale kwenye nyumba za Tembe ndio uonekane Mtazania.
na bado.... kuna kitu imetulia pale Raskazoni Tanga, adjacent na beach inaitwa TANGA BEACH RESORT... taasisi nyingi za serikali zinaenda kufanyia mikutano pale
Ridhiwani kikwete naomba uthibitishe au ukanushe umiliki wako wa jengo hili ndani ya Dodoma.Nitatoa nyaraka baada ya kusikia kauli.Naomba kuwasilisha.
acha wivu ulitaka na wewe uzaliwe na kikwete?
Lazima aende jela baada ya kufirisiwa.naomba uhai niwepo 2015