Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
umeandika pumba
pumba haziwezi kuwa pumba zote kuku na mbwa wakula pumba.
umeandika pumba
salama ni mke wa ridhiwan!!!!?? Wanamsema huyu aliyepata sponsorship ya kwenda uk na watoto wa maskini kunyimwa,au macho yangu na memory yangu vimeanza mgomo?
mmh! Unajua kuchombeza.-waanddishi wetu kama walipata div sawa na ile ya mwanaisha mnategemea nini sasa?