Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Kwa mtaji wa hayo maneno yako yanayoonyesha kuwa na ukweli ndani yake, hadi hapo nasema HESHIMA MBEEEEEELE KAMA TAI kwa huyu kijana mwenzetu, Ridhiwani Kikwete katika kusaidia mjane huyu asizulumiwe kitu.
Pamoja na yote, bado tuendelee kufuatilia hili jambo kimya kimya hadi tupate ukweli wote kwamba mwisho wake umekua vipi.
Taifa linalodhulumu akina mama wajane na watoto yatima wana laana lisilokomesheka.
Pamoja na yote, bado tuendelee kufuatilia hili jambo kimya kimya hadi tupate ukweli wote kwamba mwisho wake umekua vipi.
Taifa linalodhulumu akina mama wajane na watoto yatima wana laana lisilokomesheka.
Mtoa mada ameweka kinyume kinyume maana ukweli ni kwamba huyo mzee wa madili ni mtu wa Fred Lowassa na haijulikani mambo hayo yote kama huyo kina anajua ama la.
Pia fuatilieni mutajua kwamba hata mali za huyo mama alisaidiwa kuziokoa kwa msaada wa Riz na hata sasa ndiye anamsaidia kuzuia huyo mzee wa madili asimdhulumu huyo mjane.
Huyo mjane namfahamu sana nilipokua Arusha nilikutana naye alisaidiwa kuokoa migodi yake ya Tanzanite na Riz na sasa nasikia mgodi umetema. Kama alimsaidia kuokoa mali za mabilioni na sasa anamsaidia mahakamani (kaangalieni kumbukumbu) itakuaje awe anataka kumdhulumu.
Inawezekana mtoa mada alisikia tu kwamba kuna "mtoto wa kigogo" anayemlinda mzee wa madili anayetaka kumdhulumu mjane.