LENGIO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 1,096
- 508
Kuna mtu anajiita piga deel anatumia jina la Ridhiwani Kikwete kung'ang'ania nyumba ya Uchumi house nyumba ambayo ni ya mama mjane aliyeachiwa na mume wake.Mama huyo amefanya kesi na Njake akamshinda mahakama kuu,baada ya rufaa mahakama ikaamuru mama apewe nyumba yake,lakini amejitokeza huyo piga deel ambaye alikuwa anatumiwa na Njake kukusanya kodi na kuzuia madalali mahakama kukabidhi nyumba hiyo kwa madai niya kwake huku akitamba hakuna mtu atakaye mueza kwakuwa yuko na Ridhiwani Kikwete.Kwa mimi binafsi naona anatumia tu jina la RZ1 kutishia.Rz1 kama huyo mtu humfahamu jitokeze kukanusha na umchukulie hata sitahiki maana imekuwa kawaida kwa matapeli kutumia watoto wa viongozi kudhulumu.