Tonge
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 695
- 12
Nyambaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaafu huyu, fisadiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii huyu.Hivi Mkapa, Mwinyi, Warioba na Nyerere hawakuwa na watoto, mbona huyu Riz 1 anakipele sana huyu pumbaaaaaaaaaaaaafu, anafikiri hii nchi ni ya kifalme? Huo wote ni uoga maana CHADEMA wakiingia madarakani watamulika ufisadi wake ambao anaufanya mikoani, juzi ndio kmaliza shule ati anamiliki jengo lenye gorofa 10 kule moro na mengine mengi.Hicho kipele chake CHADEMA watakikuna tu ngoja.