Ridhiwani Kikwete ang'aka tena

Samahani wadau msimshambulie mteja wangu. Naanda taratibu za kufungua kesi. Mchecheto wa nini nyie? Mtikila na Slaa lazima wakome mwaka huu.
 
swahiba... the only danger naiona hapa ni arrogance ya dogo while there are only 4 year left kwa baba kulinda familia, if it was me, i would be very careful with what i say to anyone

Tanzania iko kwenye mapito makali sana na kauli yoyote ile ni muhimu sana hasa ukiwa kwenye limelight

Nina story ya mtoto wa waziri wa siera leone ambaye ni rafiki yangu akisimulia yaliyomtokea, unaweza kupata kichaa... yeye amekimbilia UK

mlio karibu, mshaurini dogo akae kimya au hata asijibu chochote kwa waandishi, silence can be the best noise one can make

Aaa! akae kimya tena. Yeye aendelee kueleza ama kufanya vyovyoete vile, ili aone moto utakavyo mtafuna hapo baadaye. Maana naona mwanga mkubwa mbele. Hivyo vijicenti vyake anavyo uibia umma leo vitarudishwa mikononi mwa umma mwaka 2015. ATAMBUE HILO. Asijione eti ni wa maana sana, na kwamba yuko salama kwa kukaa ikulu. Nguvu ya umma itakapo chukua mkondo wake ndiyo atakapo lijua jiji.
 
All i see here is a lot of personal attack,massive character assassination fuelled by drugs,hunger,life frustration by people who have failed to take responsibility regarding their life and thinking coming here in the site and throw insult arround will achieve them anything.NOPE,they may as well tell the insult to the wind for all result they will get
 
Anakula matapishi yake huyo mtoto. Alisema atawapeleka mahakamani Dr Slaa na Mtikila baada ya siku saba kupita kama hajaombwa msamaha, muda umefika na wananchi wanataka kuona ahadi aliyoitoa kama ataitimiza. Hiki kitoto kilikuwa kinatingisha kiberiti, sasa moto umeanza kumuunguza. Mahakamani atapelekwa yeye na lazima atueleze mabilioni hayo kayapata wapi, vinginevyo ni mwizi akanyee debe akakutane na akina papiii.

Ebwanaee!!!!!!!!! huko sasa unataka kuukwaza mtima wangu usinikumbuke unyama waliofanyiwa akina papiii
 
All i see here is a lot of personal attack,massive character assassination fuelled by drugs,hunger,life frustration by people who have failed to take responsibility regarding their life and thinking coming here in the site and throw insult arround will achieve them anything.NOPE,they may as well tell the insult to the wind for all result they will get

So what! Wewe ni mkenya? Mkongo? au Mkore? Unaishi dunia gani ndugu? Yaonyesha wewe ni mvivu wa kufikiri. tena yaonesha wewe ni wakara uliye tumwa kazi maalumu. Kwako ukweli ni tusi siyo? Unamacho lakini huoni, mbumbumbu mkubwa.
 
Umezungumzia burden of proof- kuna kesi moja in the Supreme court ilisema hivi ruling yake :-

” Nonetheless, “[a]bsent some reason to believe that Congress intended otherwise, therefore, [the Supreme Court] will conclude that the burden of persuasion lies where it usually falls, upon the party seeking relief.”

In short the burden of proof lies upon the party that is seeking a relief ambapo katika ya Dr Slaa, Mtikila na Rz1 ni nani aliyelalamika kuwa amedhurika na tuhuma hizo??? Nadhani jibu unalo tayari.
Congress ya nchi gani? Supreme Court ya nchi gani?

We wa wapi wewe?

Hatuko Marekani hapa!
 
familia nzima yaani hawaeleweki..kuanzia baba hadi watoto.......


Hivi ile siku Mkapa aliyowaambia wananchi kuwa Watamkumbuka alikuwa ana maana gani?? Nafikiri inabidi waandishi wamuhoji. Inaelekea kuna kitu alikuwa anajuwa lakini kwa maksudi akaamuwa kuwapa wananchi kile walichokitaka badala ya kutumia busara yake kama kiongozi kuwapatia kile kitakachotusaidia.
 
Riz1 si ni mwanasheria(udsm) mbona anaogopa kivuli chake? siku saba alidhan miaka saba...
anadhan wote tunaish kimjin mjin eh..
 
kama ni kidume kweli ampandishe baba yake mahakamani kwanza kwa ufisadi. vinginevyo anahitaji kubambikiwa cheque iliyokosewa kama wazazi wake, poor thinking.
 
Kama ni ishu ya maisha yake wakati anaongea na vyombo vya habari hakuwa anajua kuwa hilo?
 
Back
Top Bottom