Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,223
Ni siku moja imepita tangia dateline ya riz na watu humu wanachonga kama mahoka.hebu tusubiri walau siku tatu tukiona kimya ndo tupate la kusema.
Ni wajibu pia kina mtikira na slaa waje na ushahidi wa shutuma zao vinginevo nao ni WAROPOKAJI TU
Ni wajibu pia kina mtikira na slaa waje na ushahidi wa shutuma zao vinginevo nao ni WAROPOKAJI TU