Emil Mwangwa
Senior Member
- May 9, 2011
- 124
- 24
mmmhhh mabwaku ngoja tuone sijui itakuwa nayo ni upepo tu..
Rz1 anatajwa kuwa na Mahusiano na Lulu kiasi cha kumununulia gari.
Mda mfupi baada ya Kifo cha Kanumba msg ya Rz1 ilikutwa kwenye simu ya lulu!!!!
Jamani mi naona imetosha, kila siku Lulu, Kanumba jamani tumuache marehemu apumzike,
Lulu awe alimuua au hakumuua huu ni wakati wake wa kutafakari upya maisha yake jamani tumpe nafasi mana kila siku kwenye magazeti hakuna aliyemkamilifu watu hujifunza kupitia makosa tuiache mahakama itaamua.Hata wazazi wake wanasomo la kujifuza hapo kila kitu kina sababu na Mungu ndie anaejua kwa nini haya yatokee.
Ujumbe kwako Lulu usiyumbishwe na maneno mengi, usimtegemee binadamu yeyote kwa cheo wala kwa fedha Mtizame Bwana Yesu huyo ndiyo jibu tosha atakutoa ulipo atakupeleka atakako yeye ni mwaminifu wana maslahi binafsi tu hao.
Jamani mi naona imetosha, kila siku Lulu, Kanumba jamani tumuache marehemu apumzike,
Lulu awe alimuua au hakumuua huu ni wakati wake wa kutafakari upya maisha yake jamani tumpe nafasi mana kila siku kwenye magazeti hakuna aliyemkamilifu watu hujifunza kupitia makosa tuiache mahakama itaamua.Hata wazazi wake wanasomo la kujifuza hapo kila kitu kina sababu na Mungu ndie anaejua kwa nini haya yatokee.
Ujumbe kwako Lulu usiyumbishwe na maneno mengi, usimtegemee binadamu yeyote kwa cheo wala kwa fedha Mtizame Bwana Yesu huyo ndiyo jibu tosha atakutoa ulipo atakupeleka atakako yeye ni mwaminifu wana maslahi binafsi tu hao.
ni muislam ana haki ya kuwa na mahawara wanne
ni muislam ana haki ya kuwa na mahawara wanne
ni muislam ana haki ya kuwa na mahawara wanne
ni muislam ana haki ya kuwa na mahawara wanne
wee ndo makalio kweli usifananishe uislam na upumbavu wakoni muislam ana haki ya kuwa na mahawara wanne