Ridhiwani 'awapa' ulaji marafiki

Hapo sijaelewa. Ridhiwani anajiandaa kugombea nafasi gani 2015? Nauliza hivi kwa sababu Jumamosi iliyppita walifika Waislamu wawili hapa Msasani,wamevaa kanzu,wanasema wamepotea njia,wameambiwa Ridhiwani anaishi hapa. Nikiwaelekeza,nendeni mkapande daladala,nendeni hivi,nendeni hivi,mtafika nyumbani kwake Ridhiwani. Wakasema 'asante' wakaondoka.

Hii mambo ya kidini ukiindekeza mwisho unakuwa kama zuzu yaani...kweli ni "opium of the people"....sasa hapo kanzu na uislamu na kugombea nafasi fulani ............mara watu wamepotea njia.....vinaanzaje kuwa ni sehemu ya uzi huu........?????

If so, hivi katiba haimruhusu mtu anayeuliziwa na watu waliovaa kanzu na kupotea kwa mwenyeji wao kugombea nafasi ya uongozi????

Back to topic: Katiba ndo mambo yoooote let's get to it seriously
 
Takataka hii. Unafiki mkubwa kwenye habari hii. Mimi si muumini wa kushabikia udaku. Mwanahalisi=udaku.

Unasema Udaku? Umekwenda kwenye FB? ukaona Shukrani zilivyotolewa? Au unasema bila Sababu? Au kwasababu wewe

Ni Mzee wa Njaa ? Unaogopa kushiba? kwahiyo unabaki kuwa na Njaa...
 
Wakuu tukianza kudiscuss maudaku haya iko siku mtatuletea Ijumaa hapa.Hawa mwanahalisi=Udaku.
 
I discovered since kwamba yule mtu aliyefika Msasani kumtafuta Ridhiwani,he was just a joker,ambaye alitaka nifikirie Ridiwani anafanya njama ..
 
msiwaaminishe wa tz vitu ambavyo havipo,, kwani ni kosa rais kuwa na mtoto?

Mkuu upo mbali na maada na hii inaonekana jinsi magamba msivyokuwa na uelewa hata wa kuona.Hakuna aliyesema Rais ni vibaya kuwa na mtoto.Lkn je ni vizuri huyo mtoto kuwa na utashi katika uteuzi wa viongozi wa kuliongoza taifa hata kama co kiongozi kisa urafiki tu sa hii nchi itaongozwa kiurafiki mpaka lini mtu kuwa rais co kila mtoto au mke akiwa na rafiki umpe madaraka hii co nchi ya ukoo na marafiki ni ya watu welevu bila kujali dini,kabila na hata sura
 
Back
Top Bottom