ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,554
Ana akaunti mbili, kwa hiyo? Ukiwa na kumi ndio fisadi?
kwa mtazamo wake yeyr rz1
Ana akaunti mbili, kwa hiyo? Ukiwa na kumi ndio fisadi?
Thanks for the footage but where did he get his doctorate from?
Nakushauri acha kupiga kelele kuna mahakama nenda kafungue kesi slaa na mtikila walete evidence,kumbuka tayari watu wanaiona family yako kama watu wa maneno mengi,sasa ukijaribu kuongezea maneno tunaona ni mchezo wenu,mahakamani ndiko haki inapatikana,ina maana hujui na wee ni lawyer?au uliupata kwa bahati mbaya?
Naomba kutoa wazo mbadala tafadhali.
Huoni kuwa kafanya uungwana kuwapa siku 7 wathibitishe tuhuma waliozotoa? kama kweli DR slaa anaushahidi kwanini asiutoe hadharani au akamfungulie mashtaka?
kama siku 7 zikipita na Dr slaa hajasema chochote then riz aende mahakamani.
hata kwa ushahidi gani Rz 1 HAWEZI KUKUBALI UBILIONEA.Tatizo ni kwamba hao wanaomtuhumu sidhani kama wana hard evidence.